mwambojoke
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,060
- 630
Nataka kuchoma nyama kwa ajili ya Familia lakin sijui pa kuanzia. Nadhan nikipata majibu ya maswali yangu ntajua cha kufanya.
A). Sehemu gani ya nyama ya ng'ombe ni tamu kwa kuichoma? Ili nikienda buchani niagize hyo.
B). Nitumie spice gani kwa ajili ya kulainisha nyama yangu?
C) .Nitumie spice gani kwa ajili ya ladha ya nyama?
D) Ntaifanyaje nyama yangu isiwe Kavu yaani iwe 'Juicy' baada ya kuchoma?
NB: Kwa ambao mmefika Toroka uje nyuma ya best bite Kinondoni. Napenda nitoe nyama ifanane vile kwa utamu na ulaini kama kuna mtu anaweza niibia siri.
Asalaam.
Sent using Jamii Forums mobile app
A). Sehemu gani ya nyama ya ng'ombe ni tamu kwa kuichoma? Ili nikienda buchani niagize hyo.
B). Nitumie spice gani kwa ajili ya kulainisha nyama yangu?
C) .Nitumie spice gani kwa ajili ya ladha ya nyama?
D) Ntaifanyaje nyama yangu isiwe Kavu yaani iwe 'Juicy' baada ya kuchoma?
NB: Kwa ambao mmefika Toroka uje nyuma ya best bite Kinondoni. Napenda nitoe nyama ifanane vile kwa utamu na ulaini kama kuna mtu anaweza niibia siri.
Asalaam.
Sent using Jamii Forums mobile app