Asa wanafundisha hv vitu shule ya msingi.. Mtoto wa shule ya msingi anaombaje kazi??Mkuu
Unamaliza Chuo Hujui Kuandika Barua Za Namna Hiyo Zinazofundishwa Shule Ya Msingi, Secondary
Huko Mbele Ulikofika Ulitakiwa Uyajue Haya Yote
Hakuna watu wanastress kama finalist 2020Nakaribia kumaliza Chuo mwezi wa 8, nimepanga baada ya kumaliza masomo yangu niandike barua kwa ajili ya kufanya kazi kwa kujitolea kwenda moja ya makampuni ya utangazaji.
Naomba kuelekezwa jinsi ya kuandaa barua kwa ajira ya kujitolea.
Je umesomea mambo hayo ya utangazaji? Au yanayohusiana?Nakaribia kumaliza Chuo mwezi wa 8, nimepanga baada ya kumaliza masomo yangu niandike barua kwa ajili ya kufanya kazi kwa kujitolea kwenda moja ya makampuni ya utangazaji.
Naomba kuelekezwa jinsi ya kuandaa barua kwa ajira ya kujitolea.
Sio mbaya anajua Sana sema Nini ameomba ushauri ili afanye kitu unique coz anachotaka kufanya ni kitu kinachohusu maisha yake ya kesho kwa asilimia zaidi ya 50 pengineMkuu
Unamaliza Chuo Hujui Kuandika Barua Za Namna Hiyo Zinazofundishwa Shule Ya Msingi, Secondary
Huko Mbele Ulikofika Ulitakiwa Uyajue Haya Yote
Sijaona umuhimu wa koment yako ila hy n barua ya kujitolea sasa cjui n tofaut na ya kuomba Kaz au vp ndio maana nkaulizaMkuu
Unamaliza Chuo Hujui Kuandika Barua Za Namna Hiyo Zinazofundishwa Shule Ya Msingi, Secondary
Huko Mbele Ulikofika Ulitakiwa Uyajue Haya Yote
Mwaka wa kwanza kwenye course ya 'Communication Skills'Asa wanafundisha hv vitu shule ya msingi.. Mtoto wa shule ya msingi anaombaje kazi??
Hv vitu ilibidi wafundishe watu wazima bhna.