Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,339
- 3,094
Nina mdogo wangu wa kiume ali graduate kidato cha 4 mwaka 2023 alipata division 3.
Alipangiwa college kile chuo kipo pale temeke cha utalii ( course ya kuongoza watalii)
Niliwaeleza wazazi wangu huyu apelekwe veta wakakataa
Bas akaenda kusoma hapo na kamaliza mwaka huu na sasa yupo tu nyumbani,
Sasa mimi nataka aende veta ili akajifunze fani ya ujuzi ambayo haitamsumbua kujiajiri au kupata kazi, kama kuendesha mitambo n.k
Basi naomba mnielekeze kitu gani aende akasomee huko veta chang'ombe ??
Alipangiwa college kile chuo kipo pale temeke cha utalii ( course ya kuongoza watalii)
Niliwaeleza wazazi wangu huyu apelekwe veta wakakataa
Bas akaenda kusoma hapo na kamaliza mwaka huu na sasa yupo tu nyumbani,
Sasa mimi nataka aende veta ili akajifunze fani ya ujuzi ambayo haitamsumbua kujiajiri au kupata kazi, kama kuendesha mitambo n.k
Basi naomba mnielekeze kitu gani aende akasomee huko veta chang'ombe ??