The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,380
- 8,435
Habari zenu wadau.
Serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dr.Samia Suluhu Hassani inajenga jumla ya VETA 89 Nchi nzima.
Kati ya hizo Veta 4 Ni za Mikoa na Veta 85 ni za Wilaya.
Mwaka 2021/2022 ilianza kujenga Veta 25 kwenye Wilaya na mwaka huu 2022/2023 inajenga Veta 60..
Ikumbukwe kwamba Lengo la Serikali Ni Kuhakikisha kila Wilaya ya Tanzania na Mkoa inakuwa na Chuo Cha Veta ili.kuleta mapinduzi ya Elimu ya ujuzi kwenye fani mbalimba zitakazowawezesha maelfu ya Vijana kujiajiri na kuajiriwa..
Ni elimu ya Ufundi pekee ndio itakayoleta mapinduzi ya kiuchumi na ajira za uhakika kwa vijana..
Imagine just within less than 2 years toka awe Rais Mambo haya makubwa yanafanyika yet kuna watu Wana kejeli na Kutaka asisifiwe wakati tumekuwa na Marais hapo kabla Hakuna kitu kikubwa walifanya.
Hii Ni sekta Moja tu ya Elimu ya Ufundi lakini Moto huu uko kwenye sekta zote za Uchumi.
Pamoja na pongezi hizi tunaiomba Serikali ifikirie kununua vifaa vya kutosha vya kujifunzia kwenye vyuo hivyo kwa wakati na pia waweke utaratibu wa kutoa tenda kwa vijana watakaohitimu kwenye vyuo hivyo kwa mahitaji mbalimba ya kiserikali badala ya kila kitu kuagiza China.
Pia vijana wabunifu wapewe motisha na mitaji watakapohitimu.
Kama huoni kwa macho utaoneshwa tuu,video.👇
Serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dr.Samia Suluhu Hassani inajenga jumla ya VETA 89 Nchi nzima.
Kati ya hizo Veta 4 Ni za Mikoa na Veta 85 ni za Wilaya.
Mwaka 2021/2022 ilianza kujenga Veta 25 kwenye Wilaya na mwaka huu 2022/2023 inajenga Veta 60..
Ikumbukwe kwamba Lengo la Serikali Ni Kuhakikisha kila Wilaya ya Tanzania na Mkoa inakuwa na Chuo Cha Veta ili.kuleta mapinduzi ya Elimu ya ujuzi kwenye fani mbalimba zitakazowawezesha maelfu ya Vijana kujiajiri na kuajiriwa..
Ni elimu ya Ufundi pekee ndio itakayoleta mapinduzi ya kiuchumi na ajira za uhakika kwa vijana..
Imagine just within less than 2 years toka awe Rais Mambo haya makubwa yanafanyika yet kuna watu Wana kejeli na Kutaka asisifiwe wakati tumekuwa na Marais hapo kabla Hakuna kitu kikubwa walifanya.
Hii Ni sekta Moja tu ya Elimu ya Ufundi lakini Moto huu uko kwenye sekta zote za Uchumi.
Pamoja na pongezi hizi tunaiomba Serikali ifikirie kununua vifaa vya kutosha vya kujifunzia kwenye vyuo hivyo kwa wakati na pia waweke utaratibu wa kutoa tenda kwa vijana watakaohitimu kwenye vyuo hivyo kwa mahitaji mbalimba ya kiserikali badala ya kila kitu kuagiza China.
Pia vijana wabunifu wapewe motisha na mitaji watakapohitimu.
Kama huoni kwa macho utaoneshwa tuu,video.👇