Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,950
- 2,489
kwa upande wa majina ya kikabila, nakushauri upate jina ambalo utajua maana yake kwa uhakika. Unaweza ukapewa jina ambalo ni tusi hivyo ikakushushia heshima yako.
Bongi Inkhosi = praise the Lord
Imana Ishimwe = praise the Lord
Muwaha Yalumbwe = praise
Mutwa Yalumbwagwe = praise the Lord
au ukipenda jina linalotaka kufana na langu
Jesu Inkhosi wetu - Jesus our Lord
Yeshua Melech Ha Mlachim - Jesus King of kings
Jesu Inkhosi ya makosini - the same like above!
Au
Lugano = Upendo
Wendo = upendo
kwa nini usitumie moja ya majina yako halisi? mi natumia jina la kwanza na sipati shida yoyote. but kama hutojali tumia "Maran - Atha" which means, "Come ooh, Lord"
Mie nimelipenda la kwako!!!
Yaani mtoa roho za wanadamu,mh!hili halimfai!!huyu ni kilaza tu ndilo linalomfaa!!Israel jina zuri na linafanana na la kwako.
Sasa mr Good guy, why such scientific names???
Jamani kabla sijawaomba wahusika wanibadilishie jina, naomba mwemye jina zuri ani pendekezee hapa.
Tabutupu naona si jina zuri. Hata la kienyeji ili mradi unipe maana yake.
Asanteni.
Jamani kabla sijawaomba wahusika wanibadilishie jina, naomba mwemye jina zuri ani pendekezee hapa.
Tabutupu naona si jina zuri. Hata la kienyeji ili mradi unipe maana yake.
Asanteni.