Amon Mtekateka
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 1,225
- 333
Kuna mdogo wang amechaguliwa katika iko chuo mapema tu tena katika batch ya kwanza lakni cha kushangaza mpaka leo hakuna dalili ya kupatikana izo form.
Kama kuna mtu alisoma katika iko chuo au anayo ata kuifaham fomu ya kujiunga kwenye iko chuo naomba tafadhali.
Nitashukuru kama nitasaidiwa kwa wakati kwasabab wakati ndio mda unazidi kuisha.
Na mnafaham huu ndio mda wa kuripoti!!!!!!!!!
Kama kuna mtu alisoma katika iko chuo au anayo ata kuifaham fomu ya kujiunga kwenye iko chuo naomba tafadhali.
Nitashukuru kama nitasaidiwa kwa wakati kwasabab wakati ndio mda unazidi kuisha.
Na mnafaham huu ndio mda wa kuripoti!!!!!!!!!