Oooh....kama umechaguliwa hapo angalia kwenye profile yako ya selection kuna joining instruction washatuma mda mrefu..kwa vyuo vya government mm nshapata nmechaguliwa musoma cotcNaomba, kama kuna mtu amechaguliwa Mbeya Collage of health and allied sciences kwa diploma courses na akafanikiwa kupata joining instructions au mawasiliano na uongozi wa chuo hicho, anisaidie.
Tarh 1.November, but wanatoa siku 14 kila mwanafunz awe ameshareport tofaut na hapo nafas yako inachkuliwa so kuanzia 1-14november 2020Kuripot Lin...??
Hata Mimi nasubiria majibu kwenye status yangu ipo pendingNa kama ukiingia kwny profile yako confirmation status IPO pending inakuaje hapo