Naomba ifanywe kwa dharura: Napendekeza kuanzia Jumamosi iwe ni marufuku mtu kutoka nje ya nyumba yake bila kufunika uso kwa kitambaa/ barakoa/ scarf

Napendekeza katika hali ya dharura sana, serikali itangaze kuanzia jumamosi hii iwe ni marufuku kwa mtu yeyote kutoka nje ya nyumba yake bila kufunika uso kwa kitambaa au scarf, na kama ana uwezo wa kununua barakoa basi avae barakoa.

Japo barakoa/ scarf haikukingi moja kwa moja na maambukizi kwa sababu bado macho yapo wazi, lakini inasaidia kuwalinda wanaokuzunguka pale unapokohoa au kupiga chafya, shida inayokuja sasa hivi ni kwamba mtu kwa nia njema kabisa unapotaka kuvaa barakoa watu wanakushangaa na kukugeuza kituko.

Its very unnerving, ndio maana wengi tumeacha kuvaa hizo barakoa, ila Serikali ikitangaza kwamba ni lazima basi kila mtu atavaa na hakutakuwa na wa kumshangaa au kumgeuza mwenzie kituko /kivutio cha utalii na kumshangaa shangaa anapopita.

Natoa masaa 12 tu hili lifanyike. NB: Sitaongeza muda.
Who are you?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataalamu wananichanganya wengine haisaidii,wengine muhimu kuvaa wengine hapana.........
 
Barakoa inatakiwa ivaliwe kwa masaa yasiyozidi 4 tu,, so Elimu pia ingeenda sambamba na hilo
 
Napendekeza katika hali ya dharura sana, serikali itangaze kuanzia jumamosi hii iwe ni marufuku kwa mtu yeyote kutoka nje ya nyumba yake bila kufunika uso kwa kitambaa au scarf, na kama ana uwezo wa kununua barakoa basi avae barakoa.

Japo barakoa/ scarf haikukingi moja kwa moja na maambukizi kwa sababu bado macho yapo wazi, lakini inasaidia kuwalinda wanaokuzunguka pale unapokohoa au kupiga chafya, shida inayokuja sasa hivi ni kwamba mtu kwa nia njema kabisa unapotaka kuvaa barakoa watu wanakushangaa na kukugeuza kituko.

Its very unnerving, ndio maana wengi tumeacha kuvaa hizo barakoa, ila Serikali ikitangaza kwamba ni lazima basi kila mtu atavaa na hakutakuwa na wa kumshangaa au kumgeuza mwenzie kituko /kivutio cha utalii na kumshangaa shangaa anapopita.

Natoa masaa 12 tu hili lifanyike. NB: Sitaongeza muda.
Kufunika uso ni suluhisho dogo Sana Kwa tanzania, unajua huwezi kufikia hapo kabla hujachukua hatua zingne jamani
Funga makanisa, funga masoko Yote, funga kariakooo na kusimamisha usafiri wa umma, hizo ndio hatua kuuuu, huuu ugojwa unaambukiza kwa asilimia 80 kupitia mikononi, na kugusana huko kwenye hiyo mikusanyiko niliyoitaji ningumu kuepusha kugusana na ni ngumu kuzuia mikono isishike kitu huko kwenye usafiri, Baar na kanisani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuunga mkono.
Serikali imechelewa na inachelewa sana kutoa tamko la kujikinga zaidi ya kunawa mikono.

Watu wote tungeanza mapema kukinga midomo na pua ingesaidia kupunguza maambukizi kwa njia ya chafya na kukohoa.

Unakuta basi zima hakuna hata MTU mmoja aliyefunika USO. Watu wanaingia msikitini na kusujudi bila kuvaa maski wakati anapogusa ardhini ndipo mwngine alipogusa dk chache zilizopita.

Pia watu wanunue gloves wavae kwani zinafaa kuosha kwa sabuni na kuvaliwa tena na tena. Mana sio kwamba zinatumika hospitalini Bali ni kugusa vitu na kisha zinaoshwa na sabuni kisha MTU asiye na uwezo anavaa tena kuliko kuuza vitu sokono mikono mitupu na mdomo na pua wazi.

Watoa huduma wote wavae maski kwa kweli mana huenda bidhaa wanazouzia watu wanazipigia Chafya au kukoholea halafu wateja wananunua.

Wauza vyakula na vinywaji nao wavae maski na mikononi wavae gloves.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi simuuungi mkono, huwezi kuzuia hilo kwa Tanzania yenye idadi ya mamilioni hamsini kuwa kila mtu azuie uso wake popote aendako ni ngumu Sana kikubwa, Baar zifungwe, minada ifungwe, makanisa yafungwe, masoko yafungwe na usafiri wa umma ufungwe watu watumie hata baisker na pikipiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napendekeza katika hali ya dharura sana, serikali itangaze kuanzia jumamosi hii iwe ni marufuku kwa mtu yeyote kutoka nje ya nyumba yake bila kufunika uso kwa kitambaa au scarf, na kama ana uwezo wa kununua barakoa basi avae barakoa.

Japo barakoa/ scarf haikukingi moja kwa moja na maambukizi kwa sababu bado macho yapo wazi, lakini inasaidia kuwalinda wanaokuzunguka pale unapokohoa au kupiga chafya, shida inayokuja sasa hivi ni kwamba mtu kwa nia njema kabisa unapotaka kuvaa barakoa watu wanakushangaa na kukugeuza kituko.

Its very unnerving, ndio maana wengi tumeacha kuvaa hizo barakoa, ila Serikali ikitangaza kwamba ni lazima basi kila mtu atavaa na hakutakuwa na wa kumshangaa au kumgeuza mwenzie kituko /kivutio cha utalii na kumshangaa shangaa anapopita.

Natoa masaa 12 tu hili lifanyike. NB: Sitaongeza muda.
Naunga mkono wazo la kuvaa barakoa,hii ni kwa kila mtu na asievaa abakie ndani kwake,hii ni hatua muhimu sana,na ya pili ni kupima abaria wote wanaopanda mabasi kituo cha mabasi ya mikoani ili kuinusuru mikoa ambayo haina maambukizi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufunika uso ni suluhisho dogo Sana Kwa tanzania, unajua huwezi kufikia hapo kabla hujachukua hatua zingne jamani
Funga makanisa, funga masoko Yote, funga kariakooo na kusimamisha usafiri wa umma, hizo ndio hatua kuuuu, huuu ugojwa unaambukiza kwa asilimia 80 kupitia mikononi, na kugusana huko kwenye hiyo mikusanyiko niliyoitaji ningumu kuepusha kugusana na ni ngumu kuzuia mikono isishike kitu huko kwenye usafiri, Baar na kanisani

Sent using Jamii Forums mobile app
Kodi za fremu utalipa wewe au unaongea tu
 
Mimi simuuungi mkono, huwezi kuzuia hilo kwa Tanzania yenye idadi ya mamilioni hamsini kuwa kila mtu azuie uso wake popote aendako ni ngumu Sana kikubwa, Baar zifungwe, minada ifungwe, makanisa yafungwe, masoko yafungwe na usafiri wa umma ufungwe watu watumie hata baisker na pikipiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Ugumu wa kuvaa barakoa ni upi na urahisi wa kufungia watu biashara zao ni upi?
 
Back
Top Bottom