Mbeba Maono
Senior Member
- Jun 24, 2008
- 108
- 7
Jamanieee, samahanini, pamoja na kwamba nitakuwa naiba haki miliki ya watu, naombeni kama kuna mtu mwenye ramani za kujenga nyumba, yaani design za nyumba, muwe mnatuwekea hapa tuweze kudownload ili tujenge nyumba zetu nzuri. kama kuna mtu anayeweza akatuwekea hapa aina ambazo zitatufaa kwa weather ya hapa tz, nitashukuru. asanteni.