Granite
JF-Expert Member
- Jul 6, 2016
- 268
- 623
- Thread starter
- #21
Kwa kweli wadogo zetu tuwaeleze ukweli ili wasiweke matarijio makubwa sana yanayoweza kupelekea wakajutiana na kujilaumu sana katika na Machaguo yao ya siku zilizopita endapo Maisha baada ya Chuo yataenda kinyume na matarajio yaoWaambieni vijana hawa huku mtaani hakuna cha mwandisi, mwalimu, daktari ..wote bila bila hivyo wapunguze nyodo mana wanajikuta wanasoma masomo magumu eti wanadanganyana yana ajira
Wakati kuna waandisi wazoefu hapa jf wanatafuta ajira. ..
Maisha yamebadilika sana..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app