DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,801
- 44,943
Mungu ni Mwema kila wakati.
Wakuu tusaidiane mimi ni kijana ambaye nahitaji kazi katika kampuni za ujenzi wowote.
Naomba mwenye msaada aniunganishe.
Kiufupi nipo na Huwezo mkubwa wa kufanya kazi za nguvu katika site za ujenzi ....Mfano ujenzi wa barabara,Majumba n.k
Nb hata maswala ya umwagaji wa zege niko vizuri nina huwezo wa kubeba ndoo ya zege litre 20 hadi eneo la kazi.
Picha yangu hiko hapo chini.
Mungu awabariki watu wa Mungu nyote.
Nb: don't judge a book by it cover
Wakuu tusaidiane mimi ni kijana ambaye nahitaji kazi katika kampuni za ujenzi wowote.
Naomba mwenye msaada aniunganishe.
Kiufupi nipo na Huwezo mkubwa wa kufanya kazi za nguvu katika site za ujenzi ....Mfano ujenzi wa barabara,Majumba n.k
Nb hata maswala ya umwagaji wa zege niko vizuri nina huwezo wa kubeba ndoo ya zege litre 20 hadi eneo la kazi.
Picha yangu hiko hapo chini.
Mungu awabariki watu wa Mungu nyote.
Nb: don't judge a book by it cover