Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Kichwa cha habari chajieleza, em japo mmoja aje tupige japo story tu maana pm yangu imekuwa na mavumbi hatari... Nikipata yule ambae anajua kutengeneza mazingira ya kunidanganya nikampa vijisenti ukitoka mshahara itapendeza zaidi.
Sana sana nahitaji wale wa Dar maana ndo wajanja zaidi ambao watanifanya nisiwe bahili maana nimejikuta nimekuwa bahili hatari...
Na wale wa Dodoma kwa mbaali wanaweza kushiriki hapa maana nao wameanza kuchangamka baada ya mabalozi kutaka kuhamia huko.
Karibuni jamani hali yangu ni mbaya najijua mwenyewe.
Sana sana nahitaji wale wa Dar maana ndo wajanja zaidi ambao watanifanya nisiwe bahili maana nimejikuta nimekuwa bahili hatari...
Na wale wa Dodoma kwa mbaali wanaweza kushiriki hapa maana nao wameanza kuchangamka baada ya mabalozi kutaka kuhamia huko.
Karibuni jamani hali yangu ni mbaya najijua mwenyewe.