Naogopa kufanya mapenzi

Naogopa kufanya mapenzi

Mie nilisikia miguno ikabidi nisogee.. Duuh.. Niliyoyakuta balaa yaani.. Njaa zikiwauma ndo mnagumia vile Bujibuji & Paloma..?

si ndio raha zenyewe hizoo......uje na weye ujumuike katika msosi sie sio wachoyo!!!

Hivi shahidi anafungwa..?

anafungwa magoli!!!

Paloma, mimi ndiye niliyeenda kukunywesha ili nimalizie sida zangu mtaroni, maana mwenye nyumba kaweka kufuli mlangoni hadi nilipe kodi yake ya mwaka.
Nilikuwa nimejipanga vizuri kabisa, nikabakisha na hela ya gesti. Tatizo lako unakula kama kiwavi, chips kuku wewe, mishikaki wewe, chips mayai wewe, mchemsho wa samaki wewe, mbuzi choma wewe, makange wewe, yaani ukamaliza vyakula vyote jikoni, wakipita wauza karanga unataka.
Kwa mpango huo ningekupeleka gesti gani ya ile chenji buku jero?

..................mwili haujengwi kwa kubofya vituve vya keyboard!!!
 
Bujibuji mbona hukuogopa kumsonsomola Paloma?Napata mashaka na kauli zako, naona kuna double standards ndani yake
Paloma, mimi ndiye niliyeenda kukunywesha ili nimalizie sida zangu mtaroni, maana mwenye nyumba kaweka kufuli mlangoni hadi nilipe kodi yake ya mwaka.
Nilikuwa nimejipanga vizuri kabisa, nikabakisha na hela ya gesti. Tatizo lako unakula kama kiwavi, chips kuku wewe, mishikaki wewe, chips mayai wewe, mchemsho wa samaki wewe, mbuzi choma wewe, makange wewe, yaani ukamaliza vyakula vyote jikoni, wakipita wauza karanga unataka.
Kwa mpango huo ningekupeleka gesti gani ya ile chenji buku jero?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahahah Bujibuji
mpe pole yake mwambie ajaribu hivyo hivyo!
 
Last edited by a moderator:
Jamani mbona kasema yeye hana tatizo la kuogopa kugusana, kasema post kaiokota mtandaoni

mhhhh giLESi inawezekana mamito...........ila hapo alikuwa anamaanishakitu kingine sio kuhusu yeye kuogopa kugusana!
 
Last edited by a moderator:
Bujibuji sijawahi kusikia umeibua hata siku moja. Kila siku nakusikia ukilialia. mwaJ, cacico, Madame B na wengine wote wanakuogopa humu ndani. Tena nasikia huwa nalala mitaroni, umeenda kumlaza Paloma motto mitaroni, umemnywesha viroba, kazima, kwa kumpeleka huna, ukaenda kumnanilii mtaroni, sosoliso kawakuteni huko
Nazjaz usiwe unaua mazima kiasi hiki! Yaani haumfichii Buji siri hata kidogo? Inabidi Buji ajipange upya.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni rijali, nina mke na watoto kadhaa. Tatizo linalonikabili ni kuogopa kufanya mapenzi. Yaani wakati mwingine inabidi waifu awe kama ana nibaka. Mkonga unasimama freshi kabisa, lakini ile kuingiza ndio ninachokiogopa mwenzenu. Mademu kibao nje ya ndoa yangu wananitani, lakini nawakimbia. Naomba ushauri wenu.

Nimekutana na hii kitu mtanaoni, wala haina uhusiano wowote na bujibuji

Yani umenichekesha you cant be serious mpaka umepata hao watoto kuna jirani alikusaidia au vipi?
Bujibuji umenchekesha sana as if naona unavyobakwa na wife.
Jf kweli is another world
 
Yani umenichekesha you cant be serious mpaka umepata hao watoto kuna jirani alikusaidia au vipi?
Bujibuji umenchekesha sana as if naona unavyobakwa na wife.
Jf kweli is another world

mtalaka upo???
 
Mimi ni rijali, nina mke na watoto kadhaa. Tatizo linalonikabili ni kuogopa kufanya mapenzi. Yaani wakati mwingine inabidi waifu awe kama ana nibaka. Mkonga unasimama freshi kabisa, lakini ile kuingiza ndio ninachokiogopa mwenzenu. Mademu kibao nje ya ndoa yangu wananitani, lakini nawakimbia. Naomba ushauri wenu.
Nimekutana na hii kitu mtanaoni, wala haina uhusiano wowote na bujibuji
we utakuwa kubwa jinga
 
Back
Top Bottom