stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,746
- 27,214
Bujibuji Hebu rekebisha hapo kwenye Bold vinginevyo kuna watu nawajua humu watajibu ndivyosivyo.FirstLady1, mpaka wife anipake ndio zoezi lifanyike
Bujibuji Hebu rekebisha hapo kwenye Bold vinginevyo kuna watu nawajua humu watajibu ndivyosivyo.FirstLady1, mpaka wife anipake ndio zoezi lifanyike
Mimi ni rijali, nina mke na watoto kadhaa. Tatizo linalonikabili ni kuogopa kufanya mapenzi. Yaani wakati mwingine inabidi waifu awe kama ana nibaka. Mkonga unasimama freshi kabisa, lakini ile kuingiza ndio ninachokiogopa mwenzenu. Mademu kibao nje ya ndoa yangu wananitani, lakini nawakimbia. Naomba ushauri wenu.
Nimekutana na hii kitu mtanaoni, wala haina uhusiano wowote na bujibuji
Hao watoto uliwapataje ?
Mkuu sasa hii ni komedi ya kushushia lunch yaani nimecheka mpaka basi. Je akishakusaidia wife kuingiza vpi ushirikiano kwenye game na kama kwa bahati mbaya kwenye mtanange kitu kikachomoka vipi unaona aibu pia kukurudisha?
Mkuu Bujibuji wewe unaeleweka ni kama SMG machine huwezi kuogopa hiyo mambo, kwanza huwa unasherehekea. Salute :yo:BujibujiMimi ni rijali, nina mke na watoto kadhaa. Tatizo linalonikabili ni kuogopa kufanya mapenzi. Yaani wakati mwingine inabidi waifu awe kama ana nibaka. Mkonga unasimama freshi kabisa, lakini ile kuingiza ndio ninachokiogopa mwenzenu. Mademu kibao nje ya ndoa yangu wananitani, lakini nawakimbia. Naomba ushauri wenu.
Nimekutana na hii kitu mtanaoni, wala haina uhusiano wowote na bujibuji
Nazjaz ananiita taahira kwa sababu nilimkataa, hana lolote. mwaJ wewe niliona umewekewa limbwata na hujijui. cacico ndio kila kitu kwangu, licha ya kwamba kibabu Asprin anakaba hadi penalti wakati mtarimbo wake hauonyeshi ushirikiano na mwili wake.