Mimi ni rijali, nina mke na watoto kadhaa. Tatizo linalonikabili ni kuogopa kufanya mapenzi. Yaani wakati mwingine inabidi waifu awe kama ana nibaka. Mkonga unasimama freshi kabisa, lakini ile kuingiza ndio ninachokiogopa mwenzenu. Mademu kibao nje ya ndoa yangu wananitani, lakini nawakimbia. Naomba ushauri wenu.
Nimekutana na hii kitu mtanaoni, wala haina uhusiano wowote na bujibuji
Bujibuji naweza kucheka hadi nichanganyikiwe,
kweli na ujanja wako hali ndiyo hii
na unasema eti mwaJ analalamika, kumbe unaona aibu ku do
mtafute Madame B ana tatizo kama lako mkayamalize
mje na majibu.
Mimi ni rijali, nina mke na watoto kadhaa. Tatizo linalonikabili ni kuogopa kufanya mapenzi. Yaani wakati mwingine inabidi waifu awe kama ana nibaka. Mkonga unasimama freshi kabisa, lakini ile kuingiza ndio ninachokiogopa mwenzenu. Mademu kibao nje ya ndoa yangu wananitani, lakini nawakimbia. Naomba ushauri wenu.
Nimekutana na hii kitu mtanaoni, wala haina uhusiano wowote na bujibuji
Mimi ni rijali, nina mke na watoto kadhaa. Tatizo linalonikabili ni kuogopa kufanya mapenzi. Yaani wakati mwingine inabidi waifu awe kama ana nibaka. Mkonga unasimama freshi kabisa, lakini ile kuingiza ndio ninachokiogopa mwenzenu. Mademu kibao nje ya ndoa yangu wananitani, lakini nawakimbia. Naomba ushauri wenu.
Nimekutana na hii kitu mtanaoni, wala haina uhusiano wowote na bujibuji
Bujibuji naweza kucheka hadi nichanganyikiwe,
kweli na ujanja wako hali ndiyo hii
na unasema eti mwaJ analalamika, kumbe unaona aibu ku do
mtafute Madame B ana tatizo kama lako mkayamalize
mje na majibu.
Hivyo ni visa vya Bujibuji tu, hana lolote yaani mashine isimame halafu uogope kuingiza!!! Ni sawa na kusema yaani mimi ni dereva mzuri sana na nimeshaendesha magari mengi sana lakini siku hizi hata kama nina shida ya gari bora nitembee kwa mguu au nipande daladala kwa sababu naogopa kuingia barabarani!!!!!
Mamndeny, Madame B kuanzia amepata gym ya wanawake watupu hapatikani siku hizi. Muda wote yuko busy na mazoezi.
Nasikia huko wanafundishwa na mazoezi mengine.
Bujibuji naweza kucheka hadi nichanganyikiwe,
kweli na ujanja wako hali ndiyo hii
na unasema eti mwaJ analalamika, kumbe unaona aibu ku do
mtafute Madame B ana tatizo kama lako mkayamalize
mje na majibu.