Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Wanajamvi
Nawashukuru wote,ni kweli nilihojiwa na polisi,kwa saa kadhaa,nikituhumiwa kula njama za kutaka kumwua meya...,,nilijidhamini siku hiyo ya jumatano usiku,,,kimsingi hizi tuhuma ni za uongo na hazina hata chembe ya ukweli,kwa sasa nipo nje na mapambano yanaendelea
Nawashukuru wote,ni kweli nilihojiwa na polisi,kwa saa kadhaa,nikituhumiwa kula njama za kutaka kumwua meya...,,nilijidhamini siku hiyo ya jumatano usiku,,,kimsingi hizi tuhuma ni za uongo na hazina hata chembe ya ukweli,kwa sasa nipo nje na mapambano yanaendelea