Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Nyie endeleeni kumdanganya mfalme juha kuwa amevaa nguo kumbe yuko uchi eti si watanzania si waislamu,Nyie CDM tofauti sana na Misri au Tunisia na Libya, nyie ni Wakiristo, Misri, Tunisia, Libya, Yemeni, Syria, ni Waislam, wenzenu hawaogopi kufa, nyie CDM ni Wakiristo safi mnaogopa kufa.
Umeona tofauti ilivyokuwa kubwa!
hata huyu alikuwa anadanganywa hivihivi na kina Uday na Qusay.