Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Wanajamvi,
Nanyaro ambaye ni Mwenyekiti wa Bavicha mkoa wa Arusha,na mwenyekiti wa wilaya,pia ni diwani wa Levolosi,amehojiwa kwa saa kadhaa,kwa tuhuma za kuhusika na njama za kutaka kumwua meya mwenye utata wa jij la Arusha.
Habari kutoka ndani ya polisi zinasema kuwa alihojiwa na maofisa kutoka dar,siku ya jumatano kuanzia saa nane mchana hadi usiku wa manane,na kuachia kwa kujidhamini,na ametakiwa kuendelea kuripoti polisi kwa wiki nzima
Source: CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO - Mwanzo
Nanyaro ambaye ni Mwenyekiti wa Bavicha mkoa wa Arusha,na mwenyekiti wa wilaya,pia ni diwani wa Levolosi,amehojiwa kwa saa kadhaa,kwa tuhuma za kuhusika na njama za kutaka kumwua meya mwenye utata wa jij la Arusha.
Habari kutoka ndani ya polisi zinasema kuwa alihojiwa na maofisa kutoka dar,siku ya jumatano kuanzia saa nane mchana hadi usiku wa manane,na kuachia kwa kujidhamini,na ametakiwa kuendelea kuripoti polisi kwa wiki nzima
Source: CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO - Mwanzo