To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,715
- 66,994
Ni Kweli Kabisa mkuu✌️Hahahahaha..majibu yote yanaweza kuwa sawa
Ni Kweli Kabisa mkuu✌️Hahahahaha..majibu yote yanaweza kuwa sawa
Kumbe boda boda wanawala sana wadada eehWengi wamejaaliwa ndio maana wadada wengi huwafuata kwa lengo la kufanya nao mapenzi.
Ila kwa uchafu....baadhi ni wachafu tena sana
AiseeUnaweza usiwe nayo, ila ukipata tu...unaenda mwenyeweee!!!
Kuna namna wanafanya hawa wanaume, si bure 🤧
Ndio hivo mpenzi.Aisee
Kuna mahali nilipita, boksa zimeanikwa nje kwenye kamba ila huku mbele kuna weupe weupe wa manii.
Nikajisemea kimoyomoyo, kazi ya usiku hiyo.
Mie ndio maana sivaagi kufuli mara kwa mara, maana ni kashda tu wakati mwingine
👏👏👏Nanunua mpya kila baada ya mwaka,
Hiyo nadhani inasaidia
Wamejaaliwa mnoo kwa kweli 😍😍😍Wengi wamejaaliwa ndio maana wadada wengi huwafuata kwa lengo la kufanya nao mapenzi.
Ila kwa uchafu....baadhi ni wachafu tena sana
Ahaaa we mkuu vaa tu maana walio wengi habari nguo alizovaaa mwingineNani mwingine ana zoea kama la kwangu la kununua nguo kila unapoletewa na mtembezaji. Nikikaa home naona nimejaza sana nguo hata ambazo sizivai masanduku Kwa makabati Mpaka chumba kinageuka kero kinanuka nguo(mitumba hasa +dukani).
Kila nikitaka kuzigawa nashindwa nianzie wapi ama nimpe nani na hata kama nikimpa mhitaji siku moja moja awe mnywaji mwenzangu au mzoa taka basi nitaishia kumchagulia dosho kadhaa moja au mbili na sio nguo kali ya fashion zile nzuri zinazoita ingawa sizivai hata mwaka mzima.
Kugawa imekuwa ni kama nataka, sitaki maana kuna kipindi unachafua nguo zote zile code za kwendA ila bado unakuwa na mzigo wa akiba still unatoka nazo Safi kwenye mishe.
Sasa cha ajabu najua Nina nguo kibao ila bado Nikikaa bar au kitaa ikaletwa nguo naiona kazi nzuri hii lazima nilipe hela.
Hii sijui tunaita ulafi, uchoyo au roho mbaya au ubinafsi Kwa maana akili Kiukweli inataman jambo moja niwe na nguo chache ila nzuri na mambo yataenda tu fresh mfano form six zako kali 5,jeans na cardet 10 kali, t shirt 5, boxer 10 kali.
Inakuwa imeisha Sasa Mara makanzu kibao, makoti kibao, ma suruali ya mwaka juzi, mashati ya 2021. Chumba kinatia Mpaka uvivu kupumzika Kwa utuli.
Ni brand au ni zile za Karume ?
😂😂😂🙌Anajali sasa, anakwambia uchafu upo mwilini na si kwenye nguo
🤔🤔🤔Wamejaaliwa mnoo kwa kweli 😍😍😍
Hii menu ya mtoto wa KIKE NINI
Sasa job unaenda na hizo kadeti 2 na Suruali 2 na mashati 4 pekee?
.mashati hayo ni wiki moja, wiki inayofuata unarudia tena hizo hizo?
Na hatujaribu.Ningefurahi kama kila mwanaume kwenye huu uzi angepanga kwa mtiririko huu kama wewe.
Ila ndo hawawezi.
Mii list angu inajaa kwa begi la mgongoni.😂😂😂😂😂
Mashuka yangu matano ya kimasai
😂Wana kamsemo kao eti mwanaume unanunuaje kabati la nguo?
Siku hizi angalau wameelemika wanaweka kwenye matenga, zamani unakutana na nguo kwenye majaba yale ya kuhifadhia maji au kwenye mafriji yaliyoharibika...
Buti la tanesco 😂Mii list angu inajaa kwa begi la mgongoni.😂😂😂😂😂
Hapo unakadilia tu
Jinsi mbili.2
Tshirt moja 3
Shati 1
Buti la TANESCO 1
Mwisho
😂😂😂