Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 30,132
- 32,647
Kuna wanaume wanajipenda wewe.....hadi kero.Huna majukumu mkuu
Kuna wanaume wanajipenda wewe.....hadi kero.Huna majukumu mkuu
Sasa job unaenda na hizo kadeti 2 na Suruali 2 na mashati 4 pekee?Jeans 2
Kadeti 2
Suruali kitambaa 2
Kaptura 2
Suti 2
Shati za mikono mirefu 2
Shati la mikono mifupi 2
Flana 2
Tsheti 2
Boxer 7
Kofia 2
Mikanda 2
Raba pair 2
Viatu vya ofisini pair 2
Viatu vya kawaida pair 2
Sendo pair 1
Miwani pair 2
Jacketi pair 1
Sweta pair 1
Saa ya mkononi 2
Cheni 2
Suruali ya mazoezi 1
Pensi ya mazoezi 1
Flana ya mazoezi 2
Viatu ya mazoezi 2
Soksi za kazini au Kanisani pair 5
Soksi za mazoezi pair 2
Kanzu pair 2 rangi tofauti
Aibu ana nguo nyingi au hana ?Kuna mwanaume nilienda kwake.
Aibu.
Hawa wa mishemishe hawawezi kuwa na rundo lote hili
🤣🤣🤣aisee 🙌🏿Kuna wanaume wanajipenda wewe.....hadi kero.
endelea maana unakuza uchumiNani mwingine ana zoea kama la kwangu la kununua nguo kila unapoletewa na mtembezaji. Nikikaa home naona nimejaza sana nguo hata ambazo sizivai masanduku Kwa makabati Mpaka chumba kinageuka kero kinanuka nguo(mitumba hasa +dukani).
Kila nikitaka kuzigawa nashindwa nianzie wapi ama nimpe nani na hata kama nikimpa mhitaji siku moja moja awe mnywaji mwenzangu au mzoa taka basi nitaishia kumchagulia dosho kadhaa moja au mbili na sio nguo kali ya fashion zile nzuri zinazoita ingawa sizivai hata mwaka mzima.
Kugawa imekuwa ni kama nataka, sitaki maana kuna kipindi unachafua nguo zote zile code za kwendA ila bado unakuwa na mzigo wa akiba still unatoka nazo Safi kwenye mishe.
Sasa cha ajabu najua Nina nguo kibao ila bado Nikikaa bar au kitaa ikaletwa nguo naiona kazi nzuri hii lazima nilipe hela.
Hii sijui tunaita ulafi, uchoyo au roho mbaya au ubinafsi Kwa maana akili Kiukweli inataman jambo moja niwe na nguo chache ila nzuri na mambo yataenda tu fresh mfano form six zako kali 5,jeans na cardet 10 kali, t shirt 5, boxer 10 kali.
Inakuwa imeisha Sasa Mara makanzu kibao, makoti kibao, ma suruali ya mwaka juzi, mashati ya 2021. Chumba kinatia Mpaka uvivu kupumzika Kwa utuli.
Siri yangu.Aibu ana nguo nyingi au hana ?
Hii menu ya mtoto wa KIKE NINIJeans 2
Kadeti 2
Suruali kitambaa 2
Kaptura 2
Suti 2
Shati za mikono mirefu 2
Shati la mikono mifupi 2
Flana 2
Tsheti 2
Boxer 7
Kofia 2
Mikanda 2
Raba pair 2
Viatu vya ofisini pair 2
Viatu vya kawaida pair 2
Sendo pair 1
Miwani pair 2
Jacketi pair 1
Sweta pair 1
Saa ya mkononi 2
Cheni 2
Suruali ya mazoezi 1
Pensi ya mazoezi 1
Flana ya mazoezi 2
Viatu ya mazoezi 2
Soksi za kazini au Kanisani pair 5
Soksi za mazoezi pair 2
Kanzu pair 2 rangi tofauti
Kbs...mwanaume mpaka unahisi tofauti🤣🤣🤣aisee 🙌🏿
Wenzako wametoa list zao, zako mtoa mada tuone.Nani mwingine ana zoea kama la kwangu la kununua nguo kila unapoletewa na mtembezaji. Nikikaa home naona nimejaza sana nguo hata ambazo sizivai masanduku Kwa makabati Mpaka chumba kinageuka kero kinanuka nguo(mitumba hasa +dukani).
Kila nikitaka kuzigawa nashindwa nianzie wapi ama nimpe nani na hata kama nikimpa mhitaji siku moja moja awe mnywaji mwenzangu au mzoa taka basi nitaishia kumchagulia dosho kadhaa moja au mbili na sio nguo kali ya fashion zile nzuri zinazoita ingawa sizivai hata mwaka mzima.
Kugawa imekuwa ni kama nataka, sitaki maana kuna kipindi unachafua nguo zote zile code za kwendA ila bado unakuwa na mzigo wa akiba still unatoka nazo Safi kwenye mishe.
Sasa cha ajabu najua Nina nguo kibao ila bado Nikikaa bar au kitaa ikaletwa nguo naiona kazi nzuri hii lazima nilipe hela.
Hii sijui tunaita ulafi, uchoyo au roho mbaya au ubinafsi Kwa maana akili Kiukweli inataman jambo moja niwe na nguo chache ila nzuri na mambo yataenda tu fresh mfano form six zako kali 5,jeans na cardet 10 kali, t shirt 5, boxer 10 kali.
Inakuwa imeisha Sasa Mara makanzu kibao, makoti kibao, ma suruali ya mwaka juzi, mashati ya 2021. Chumba kinatia Mpaka uvivu kupumzika Kwa utuli.
Si mpaka, wengine ni smart nje kaangalie kabati sasa unaeza pata headache ghafla.Mtuwekeage na kapicha ka wardrobe zenu....
Ni zozi endelevu si la siku moja, nunua vyenye umuhimu kutokana na uchumi wako.Dadeq,
Sasa hapo si million ishaisha,
🤣🤣 mwanaume hawi na nguo nyingi sanaKbs...mwanaume mpaka unahisi tofauti
Inategemeana na mahali nilipo nikiwa kazini mchanganuo wake ni tofauti na nikirudi likizo nyumbani.
Nina boxer 17🤣
Katika watu ambao wana boksa chini ya 2, ni madereva wa bodaboda🤣🤣 mwanaume hawi na nguo nyingi sana
🤣🤣🤣 seriously?Katika watu ambao wana boksa chini ya 2, ni madereva wa bodaboda
Boda boda sijui wana nini aisee
Wana kamsemo kao eti mwanaume unanunuaje kabati la nguo?Si mpaka, wengine ni smart nje kaangalie kabati sasa unaeza pata headache ghafla.