NANUNUA KUKU WA KIENYEJI

NANUNUA KUKU WA KIENYEJI

iPhone 6

Senior Member
Joined
Aug 8, 2020
Posts
104
Reaction score
153
📢 TANGAZO LA UNUNUZI WA KUKU WA KIENYEJI 🐔


Ninatafuta kuku 30 wa kienyeji kwa ajili ya matumizi ya haraka.
💰 Bei: Tsh 11,000 kwa kila kuku
📍 Eneo: Dar es Salaam
⏱️ Nahitaji haraka iwezekanavyo!


Ikiwa unauza kuku wa kienyeji au unamjua anayewauza, tafadhali wasiliana nami mara moja!


📞 Piga/SMS/WhatsApp: 0653796351
 
📢 TANGAZO LA UNUNUZI WA KUKU WA KIENYEJI 🐔


Ninatafuta kuku 30 wa kienyeji kwa ajili ya matumizi ya haraka.
💰 Bei: Tsh 11,000 kwa kila kuku
📍 Eneo: Dar es Salaam
⏱️ Nahitaji haraka iwezekanavyo!


Ikiwa unauza kuku wa kienyeji au unamjua anayewauza, tafadhali wasiliana nami mara moja!


📞 Piga/SMS/WhatsApp: 0653796351
Hata ungeniambia unawafuata shambani dodoma kwa hiyo bei sikuuzii
 
Asee kwaiyo siwezi kupata kuku wa kienyeji wa kufuga kwa hiyo bei mkuu? Au ndo kukariri maisha
Mkuu tangazo lako linataka wa kufuga??? Nilidhani kitoweo..
Kama WA kufuga utapata watakua labda kuku WA miezi miwili au mitatuna bila shaka kuku WA kienyeji unamfahamu.. na kama KWELI anafugwa kienyeji huyo ni kifaranga
 
Elfu 15 kwa kuku wa kienyeji labda kama unataka vifaranga.

Kuku wa kienyeji Dar angalau kidogo katetea kadogo ni kuanzia 16 na kuendelea, majogoo 19 na kuendelea.

Chukua chotara, wale kuku wa nyama labda ingawa bei oia haitofautiani ya wa kienyeji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom