Nanunua Dhahabu ghafi

Nanunua Dhahabu ghafi

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
7,113
Reaction score
946
Wakuu nauliza wapi naweza pata Dhahabu kwa bei nzuri ambayo haijawa manufactured?
Nikiwa naana kwamba nataka kujaribu hii biashara.
Mlioko machimboni please msaada.
Unaweza kuniwekea PM ili tulonge fresh.
Serious sellers please!!!!!
 
Mi nilidhani kuna sehemu shimo limetema kumbe tangazo, ngoja waje wachimbaji waje!
 
ucjiingize katika hyo biashara naw mana price ya dhahabu imeshuka
 
Nimetoka juzi tu machimboni, nimeacha bei kwa gram dhahabu ya mwamba f50+, pure (vikole) f60+. Bei inabadirika kulingana na soko la dunia. Ukitaka kwa bei chini inakubidi uwekeze.
 
Back
Top Bottom