Nani zaidi: Taylor Swift vs Beyonce

Nani zaidi: Taylor Swift vs Beyonce

Wick,
Na hizo ni records alizovunja akiwa hai. Najiuliza tu akifa inakuwaje kwa sababu, "people don't recognize you until you are dead".

Mfano ndogo ni Triple X. After getting shot and killed akapata na tuzo na mauzo yake ya Albums yakaongezeka.
 
Na hizo ni records alizovunja akiwa hai. Najiuliza tu akifa inakuwaje kwa sababu, "people don't recognize you until you are dead".

Mfano ndogo ni Triple X. After getting shot and killed akapata na tuzo na mauzo yake ya Albums yakaongezeka.
Hizo ni zile kubwa, kuna zingine ndogo ndogo kachukua nyingi sana.
Hapo hujaongelea Kanisa analoabudiwa na Mtaala wa chuo kikuu kumsoma!..
 
Ukweli huyu Beyonce simuelewagi kabisa mm nampa huyu mchumba swift ni hatari anacheza na chat billboard hot 100 kilasiku kama zake vile.
 
Hako ka binti naona kapo over rated, vile watu hao wameamua kukap attention hadi kameshika watu. Ila BEYONCE, moto mwingine kabisa.
Sio attention huyo mchumba ni hatari ameshakuwa threat kwa Beyonce
 
Mada ingekuwa Katty Perry Vs Taylor Swit au Vs Dua Lipa
Dua lipa mtt sana haweziingia hapo mzee mwaka juzi tu amechukua tuzo ya upcoming artist leo unampambanisha nahao watu kweli [emoji23][emoji23]
 
Wick,
Na hizo ni records alizovunja akiwa hai. Najiuliza tu akifa inakuwaje kwa sababu, "people don't recognize you until you are dead".

Mfano ndogo ni Triple X. After getting shot and killed akapata na tuzo na mauzo yake ya Albums yakaongezeka.
Sio Triple X tu even 2pac also nippes hustle too.
 
Nadhani ukiangalia type ya mziki anaofanya Taylor Swift ni tofauti na ule wa Beyonce. My favourite Taylor Swift yupo Country pop rejea nyimbo kama You belong with me, love story, back December, Mean, wonderland, n.k kwenye blank space kidogo akaswitch lakini style iliyomtoa na ndo bado anashikilia no country pop, so sidhani kama ni sahihi kumshindanisha na Beyonce ambaye yupo kwenye RnB! My favourite Taylor Swift ashindanishwe na Katty Perry ambaye pia anafanya country pop. All in all Taylor Swift kwangu ni mkali sana kwa style yake ya mziki anayofanya. Namkubali sana yule Dada.
 
Mshindani wa Beyonce ni Mariah Carey, Lady Gaga, Tina Turner, Celline Dion, Dona Summers na Mary J Bridge hivi..
 
Acha kufananisha Beyonce na vitu vya ajabu ajabu
 
Nadhani ukiangalia type ya mziki anaofanya Taylor Swift ni tofauti na ule wa Beyonce. My favourite Taylor Swift yupo Country pop rejea nyimbo kama You belong with me, love story, back December, Mean, wonderland, n.k kwenye blank space kidogo akaswitch lakini style iliyomtoa na ndo bado anashikilia no country pop, so sidhani kama ni sahihi kumshindanisha na Beyonce ambaye yupo kwenye RnB! My favourite Taylor Swift ashindanishwe na Katty Perry ambaye pia anafanya country pop. All in all Taylor Swift kwangu ni mkali sana kwa style yake ya mziki anayofanya. Namkubali sana yule Dada.
[emoji115][emoji115][emoji115]
weka records hapa
Mwana kashamaliza kila kitu hapo we siunasema humjui.
 
Back
Top Bottom