NANI ZAIDI KATIKA TEKNOLOJIA

Asimia 80% ya new innovation inaanzia USA ndiyo inaenda sehemu nyingine duniani ikiwemo Japan. USA sio wa kushindanisha na Japan kwenye technology au innovation
Siyo kweli, kuna nchi nyingi sana pioneers wa innovation kama vile Finland, Norway, Sweeden, Germany, South Korea na UK. US inasikika masikioni mwa watu wengi kwa sababu ya Hollywood effect, FOX News effect na propagandists wengine weengi wanaoipa Marekani sifa wasizostahili. US ni taifa kubwa lenye shida nyingi sana, umasikini, ukosefu wa maji, uchumi unaokufa na majanga mengine ya kibinadamu.
Hii ni kama ile dhana ya kuwa US ni nchi tajiri duniani ambayo siyo ukweli.
 
Japan wana I.Q-duniani kuwazidi hao Usa. Sasa mtu aliyekuzidi IQ sio mwenzio. Conclusion-japan wapo vizuri zaidi.
I.Q siyo tatizo mkuu, Wahindi na Wachina wana wastani mkubwa sana wa IQ duniani. Ili teknolojia ifanye kazi inahitaji mtaji wa utafiti na majaribio, unapozikutanisha US na Japana wote hawa wana mitaji ya kutosha kwa ajili ya kuendeleza teknolojia zao.
 
Siyo kweli, kuna nchi nyingi sana pioneers wa innovation kama vile Finland, Norway, Sweeden, Germany, South Korea na UK. US inasikika masikioni mwa watu wengi kwa sababu ya Hollywood effect, FOX News effect na propagandists wengine weengi wanaoipa Marekani sifa wasizostahili. US ni taifa kubwa lenye shida nyingi sana, umasikini, ukosefu wa maji, uchumi unaokufa na majanga mengine ya kibinadamu.
Hii ni kama ile dhana ya kuwa US ni nchi tajiri duniani ambayo siyo ukweli.
So fuckin right kbs
 
Screenshot_20161229-143358.png
Screenshot_20161229-143358.png
Screenshot_20161229-143428.png
 
Back
Top Bottom