mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
Mimi nilidhani Kubenea (mtu wa dili) huyu ndie alisema atawaonyesha Saanane alipo angewastaki waliommwagia tindikali, kama si usukununu wa upigaji dili nini basi wahusika wenyewe hawajashtaki lakini yeye ambaye hahusiki anashtaki,hizi ndio zile pilipili usizozila za kuwashia nini? tumefika mahala sasa watu kwa ajili ya husuda zao wanaanza kutaka kuwakomoa wale waliokuwa hawawapendi kwa kuwa walikuwa wanawazuia kufanya mambo yao ya hovyo,huyu Kubenea nae ana mawaa kibao ndio maana hata akina Ulimwengu walimtimua kwenye gazeti lao la RAIDocument hiyo hapo waisome.