Ulimwengu Mbaya
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 1,208
- 832
Siro ni untouchable?
Tenda wema nenda zako usingoje shukuraniNi hoja ya swali.
Kesi dhidi ya Paul Makonda sasa imeiva, ni kuhusu kinachoitwa madaraka ya kulevya. Moja ya msingi inajengwa juu ya uvamizi wa kituo cha Runinga, Clouds Media.
Japo CMG wamekanusha hawahusiki, yaani ni kama wamejitoa [wamenawa] kishkaji.
Inasemekana 'mainjinia' wakuu wapo Mtama na Bumbuli. Japo Bibie amejitahidi sana kumkingia kifua mtoto pendwa, lakini imebidi liachwe mikononi mwa Mawakili Wasomi wanaoitwa wa kujitegemea.
Wanene wengi wa mfumo wapo upande wa mawakili hao, ni vile tu hawataki kumfunga paka kengele hadharani. Wameshika kamba kwa umbali mrefu kidogo huku wakisubiria ONE, TWO, THREE wamtose kwenye kina.
Dah! Haya maisha haya. Akiba ya wema kwa MAMA ndo kitu pekee kitamwokoa kijana huyu.
Je, GSM atakaa kimya? Au naye ataungana na mawakili kushuhudia alivyoporwa 'Kasri' kule Kigamboni kwa kutapeliwa kuwa anamjengea Mzee Baba!
Ngoja inyeshe tuone panapovuja, tutarudi.
Ncha Kali.
Kila anaepewa dhamanaHapa umekusudia kumlenga nani?
Mathayo 16:19Ogopa Sana jamii ikikufuta kwenye ulimwengu wa roho ni lzm mbinguni napo ufutwe.Kilichofungwa duniani mbinguni akifunguliwi
Mkuu nafikiri serikali imejikwaa kidogo katika kuruhusu " private prosecution" kwani hapo advantage inakuwa kwa prosecutor. DPP angeenda mahakamani ni kuomba aiendeshe yeye kwa kutumia ushahidi wa " private prosecutor ". Kisheria anaruhusiwa. Najiuliza kwa nini serikali imekubali kukaa pembeni? Labda kuna sababu ya msingi.Mapusha wamevimbishwa kifua na rais sasa wanataka kumkomesha makonda,sema kwa ili wata dunda vibaya
Upepo utajulikana kama ni kwa kusi ama wa kisulisuli hiyo 3rd December kwamba je Jamhuri itachagua kuwa upande upi wa kesi, Mashitaka ama Utetezi, stay turned...Ni hoja ya swali.
Kesi dhidi ya Paul Makonda sasa imeiva, ni kuhusu kinachoitwa madaraka ya kulevya. Moja ya msingi inajengwa juu ya uvamizi wa kituo cha Runinga, Clouds Media.
Japo CMG wamekanusha hawahusiki, yaani ni kama wamejitoa [wamenawa] kiaina [kimtindo].
Inasemekana 'mainjinia' wakuu wapo Mtama na Bumbuli. Japo Bibie amejitahidi sana kumkingia kifua mtoto pendwa, lakini imebidi liachwe mikononi mwa Mawakili Wasomi wanaoitwa wa kujitegemea.
Wanene wengi wa mfumo wapo upande wa mawakili hao, ni vile tu hawataki kumfunga paka kengele hadharani. Wameshika kamba kwa umbali mrefu kidogo huku wakisubiria ONE, TWO, THREE wamtose kwenye kina.
Dah! Haya maisha haya. Akiba ya wema kwa MAMA ndo kitu pekee kitamwokoa kijana huyu.
Je, GSM atakaa kimya? Au naye ataungana na mawakili kushuhudia alivyoporwa 'Kasri' kule Kigamboni kwa kutapeliwa kuwa anamjengea Mzee Baba!
Ngoja inyeshe tuone panapovuja, tutarudi.
Ncha Kali.
saed kubeneaNi hoja ya swali.
Kesi dhidi ya Paul Makonda sasa imeiva, ni kuhusu kinachoitwa madaraka ya kulevya. Moja ya msingi inajengwa juu ya uvamizi wa kituo cha Runinga, Clouds Media.
Japo CMG wamekanusha hawahusiki, yaani ni kama wamejitoa [wamenawa] kiaina [kimtindo].
Inasemekana 'mainjinia' wakuu wapo Mtama na Bumbuli. Japo Bibie amejitahidi sana kumkingia kifua mtoto pendwa, lakini imebidi liachwe mikononi mwa Mawakili Wasomi wanaoitwa wa kujitegemea.
Wanene wengi wa mfumo wapo upande wa mawakili hao, ni vile tu hawataki kumfunga paka kengele hadharani. Wameshika kamba kwa umbali mrefu kidogo huku wakisubiria ONE, TWO, THREE wamtose kwenye kina.
Dah! Haya maisha haya. Akiba ya wema kwa MAMA ndo kitu pekee kitamwokoa kijana huyu.
Je, GSM atakaa kimya? Au naye ataungana na mawakili kushuhudia alivyoporwa 'Kasri' kule Kigamboni kwa kutapeliwa kuwa anamjengea Mzee Baba!
Ngoja inyeshe tuone panapovuja, tutarudi.
Ncha Kali.
ngoja tuone kinachoendeleaNi hoja ya swali.
Kesi dhidi ya Paul Makonda sasa imeiva, ni kuhusu kinachoitwa madaraka ya kulevya. Moja ya msingi inajengwa juu ya uvamizi wa kituo cha Runinga, Clouds Media.
Japo CMG wamekanusha hawahusiki, yaani ni kama wamejitoa [wamenawa] kiaina [kimtindo].
Inasemekana 'mainjinia' wakuu wapo Mtama na Bumbuli. Japo Bibie amejitahidi sana kumkingia kifua mtoto pendwa, lakini imebidi liachwe mikononi mwa Mawakili Wasomi wanaoitwa wa kujitegemea.
Wanene wengi wa mfumo wapo upande wa mawakili hao, ni vile tu hawataki kumfunga paka kengele hadharani. Wameshika kamba kwa umbali mrefu kidogo huku wakisubiria ONE, TWO, THREE wamtose kwenye kina.
Dah! Haya maisha haya. Akiba ya wema kwa MAMA ndo kitu pekee kitamwokoa kijana huyu.
Je, GSM atakaa kimya? Au naye ataungana na mawakili kushuhudia alivyoporwa 'Kasri' kule Kigamboni kwa kutapeliwa kuwa anamjengea Mzee Baba!
Ngoja inyeshe tuone panapovuja, tutarudi.
Ncha Kali.
Great greatHuyu mtu alifanya ufirauni wa kutisha kama sabaya!
Kapora sana mali za watu kupitia mgongo wa madawa ya kulevya na bureau de change!
Kanyanyasa watu hadi kwa makabila na kanda zao!
'Kadhulumu' maisha ya watu (Pampeo)
Anaeua kwa upanga nae afe kwa upanga!
Hata kama sijui Sheria bado naweza kuhisi hapo hakuna kesi! Kama Bashite angefunguliwa Kesi na Jamhuri kama alivyofunguliwa Sabaya hapo ningeamini.
Oyyyaaa mbona wajuba wamekosea kuyapanga majina ya DAB,? Wameanza na CPM badala ya PCM, haiwezi kuwa loophole kwa wale wanaojiita mawakili wasomi? Ajira nyingine hiyo kwa mawakili wa kujitegemeaDocument hiyo hapo waisome.
HOHO unamaanisha ???Zile HOHO 300 za gsm zilotimba juzi kati unajua za nani??