SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,259
- 6,903
Pamoja na yooote. Hakuna ushahidi wowote ule unao suggest haya ni ya ndani ya chama bali yanatengenezwa na wapinzani wa nchi kutaka kujaribu kuwashawishi pro Magulification of Africa kuwa kuna Vitendo vya Ukatili, dhuluma n.k vinafanyika chini ya Uongozi wa Makonda ambavyo vinaleta taswira ya Sintofahamu na Uhasama.
Haya mazingira ya Uhasama ni yale yale yaliyojengwa na Wapinzani kipindi cha Hayat Rais. Hiyo ni hatari kwa Usalama wa Nchi. Wadhibitiwe ipasavyo.
Hii kutaka kulazimisha kuwa kuna mtu mwenye nguvu na mamalaka zaidi ya Amri Jeshi mkuu. Ni kujenga mazingira ya Uhasama Uhasama, tena ule wa Visasi na wivu.
Pamoja na mapungufu ya CCM, Uhasama huu unaonyesha mapungufu ya Vyama vikubwa vya Upinzani Tanzania. Hawana nia njema na hali ya Utulivu iliyopo.
Haya mazingira ya Uhasama ni yale yale yaliyojengwa na Wapinzani kipindi cha Hayat Rais. Hiyo ni hatari kwa Usalama wa Nchi. Wadhibitiwe ipasavyo.
Hii kutaka kulazimisha kuwa kuna mtu mwenye nguvu na mamalaka zaidi ya Amri Jeshi mkuu. Ni kujenga mazingira ya Uhasama Uhasama, tena ule wa Visasi na wivu.
Pamoja na mapungufu ya CCM, Uhasama huu unaonyesha mapungufu ya Vyama vikubwa vya Upinzani Tanzania. Hawana nia njema na hali ya Utulivu iliyopo.