Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Last edited by a moderator:
Vijisenti vya ESROW vilijipitisha anga zangu...nikajionea akha ya nini kusukuma bahati....hahahaaa.....

Cc bily na JERRYmswiga hahahahah kumbe ndio kilichokufanya hata mda wa kuja apa ukose lol
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha huu uzi bado upo...nimekumbuka mduara tulokuwa tukiucheza loh....:lol:

Hahahaha naukumbuka mie nlikua napitata pita bembeni tu mana sina wowowo la kuchezea mduara lol
Nambe yeye alipanda juu ya kiti asa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom