Tuko poa, leta habari
me naamka saiv
karibu sana mkuu.. pole kwa ban aisee!!Hii thread tumetoka nayo mbali ingawa kwa sasa wadau awaichangamkii tena mi nilikua likizo ya miezi 5 kosa langu sitoweka hapa ila kwa leo nawaita tu wakongwe Ngongoseke , farkhina, Jerrymsigwa etc karibuni tufufue thread.
loh! pole sana mkuu! miezi mitano si mchezo!! ulifanyaje rafiki yangu... mbona mbaya sana hiyo?
Hii thread tumetoka nayo mbali ingawa kwa sasa wadau awaichangamkii tena mi nilikua likizo ya miezi 5 kosa langu sitoweka hapa ila kwa leo nawaita tu wakongwe Ngongoseke , farkhina, Jerrymsigwa etc karibuni tufufue thread.
karibu sana mkuu.. pole kwa ban aisee!!
nilikua kule siasa Mkuu Excel nikamuambia mleta uzi kwamba kwa kua ana element za usaliti dawa yake ni kukatwa kichwa . Hapo nikaambiwa kua JF SIYO JUKWAA LA WAHAINI NIKAPUMZISHWA MIEZI 5.
Ulikuwa na ban mkuu? Dah pole sana
aisee!! pole sana mkuu...!!
but, welcome back to the game... kwani haukuwa na ka-id kengine ka kupunguzia machungu? duh.. muda mrefu aisee!
wapi nimesema nimepigwa ban bana!! uchokozi tu, i know what you want qulaleki!!
niaje lakini!!?