Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Nimevaa miwani najitahidi kupambana na miwani muda huu si umesikia tena uzee tuliuacha chalinze?
 
Mkuu niaje vipi ulishauza vile vipuri vya mnara? Mis u too.

Zile Ngoma za voda niliuza,nikahama kabisa pale nachingwea,nikahamia kisarawe nikafungua biashara ya kuuza sembe la azam,mambo yalipokaa sawa nikaenda feri kuzamia kitu cha mgiriki wiki 3 kitu kinaunguruma nikajua nishafika kwa madiba,hee kumbe kitu kigamboni hiyo,ndio hivyo nimefungua genge tu hapa siku zasonga
 
Back
Top Bottom