Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,694
Mpenzi alie macho karibu
Mambo?!.
Mpenzi alie macho karibu
Mambo?!.
Mambo?!.
Najaribu kuutafuta usingizi Hata sipati dah sijui nna matatizo gani acha Leo niwe mlinzi tu humu
hebu washa tochi kuna chakara chakara sizielewi pale mbele.Najaribu kuutafuta usingizi Hata sipati dah sijui nna matatizo gani acha Leo niwe mlinzi tu humu
Najaribu kuutafuta usingizi Hata sipati dah sijui nna matatizo gani acha Leo niwe mlinzi tu humu
sante sanaaaAhahahaa usijali wangu nipo makini na lindo langu. Karibu
Ke mkuu what is tatizo
Njoo kwangu ucngz umejaa
mi naumwa wakuu kichwa kinavyopiga usingzi nao unapotea.
Natamani ningekua wewe yaani sina usingizi Hata kidogo. Hivi kukosa usingizi ni tatizo eeeh
Hakuna tatizo! Ulilala sana mchana nn?
mi naumwa wakuu kichwa kinavyopiga usingzi nao unapotea.
Tatizo ndio....unawaza nn?
Mmmmh sina Hata niwazacho basi tu ila upweke sijui sababu nimeachika na mume Wang last month