Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

hahaaa!! mzee ameweza kwenda 3hrs? hongera zake bana!

mwambie ale ale menu ya kutosha akufikishe mlimani juu kabisa!

Unanchukulia poa ee 1hrs fore play 2hrs soccer acha kabisa supu ya kongoro inamngoja asubuhi
 
[QrUOTE=shansarie;8697797]Three hrs for the night was enough tumebakiZa ya kesho[/QUOTE]


Straight from my heart-I serious miss you shansarie
 
Last edited by a moderator:
Unanchukulia poa ee 1hrs fore play 2hrs soccer acha kabisa supu ya kongoro inamngoja asubuhi
hahaaa!! good idea..! na wewe mamii ule ule vizuri bana usije ukakongoroka!

kutembezwa km 14 si mchezo!

na ulivyo kimbaumbau! mweh!
 
[QrUOTE=shansarie;8697797]Three hrs for the night was enough tumebakiZa ya kesho


Straight from my heart-I serious miss you shansarie[/QUOTE]

Happy valentine sijakutia machoni siku mingi umenitupa wangu vibaya hivyo
 
Last edited by a moderator:
Straight from my heart-I serious miss you shansarie

Happy valentine sijakutia machoni siku mingi umenitupa wangu vibaya hivyo[/QUOTE]

Nilibanwa na mabox bwana, saiv nimerudi vzr kbs. Thanks wangu, jana watu wamepasha viporo, vip valentine ilikuwaje na muzee?
 
Last edited by a moderator:
Happy valentine sijakutia machoni siku mingi umenitupa wangu vibaya hivyo

Nilibanwa na mabox bwana, saiv nimerudi vzr kbs. Thanks wangu, jana watu wamepasha viporo, vip valentine ilikuwaje na muzee?[/QUOTE]

Ilikuwa muzuri tu mabox wabebea wapi asee
 
duuh usingizi umekataa kabisa .nyinyi mnafanya nini ucku huu!? mnawanga nini??
 
Back
Top Bottom