Nani yuko macho tupige stori?


Ahsante Mkuu tumekupata huku kwetu Liwale tunakesha na mbu tu,endelea kukamua Mkuu kwa Obama wacha nizichange hata 2025 nije japo kutoa gundu,
 
Last edited by a moderator:
Ahsante Mkuu tumekupata huku kwetu Liwale tunakesha na mbu tu,endelea kukamua Mkuu kwa Obama wacha nizichange hata 2025 nije japo kutoa gundu,

life ni kokote mkuu!! wala hata usijali! wangapi wako bongo lakini maisha yso yako vizuri kuliko hata walioko philadelphia?

mambo yanabadilika sana wangu!
 
life ni kokote mkuu!! wala hata usijali! wangapi wako bongo lakini maisha yso yako vizuri kuliko hata walioko philadelphia?

mambo yanabadilika sana wangu!

Wala hujakosea Mkuu,lakini kupanda ndege nako kibongo bongo heshima tosha,ntajitahidi nitimize ndoto zangu siku 1
 
Mh aisee comment zako kiboko, mi nawaitaka sister eti kumbe ni watoto wazuri?

mkuu naona unaamka na kulala!!

mi nshaapa, nikikamata mmojawapo kati ya Jawilat, mimi49, farkhina, ama 'Valentina',

watasahau kabisa id zao za jf!! hahahahaaa!!

mwaka mzima tu mnasema walikuwepo! mnaangalia tu manyoya...!!!
 
Last edited by a moderator:
Wala hujakosea Mkuu,lakini kupanda ndege nako kibongo bongo heshima tosha,ntajitahidi nitimize ndoto zangu siku 1

piga buku kwanza mdogo wangu kama uko shule!

if not, then hustle hard.. america kuna inflation ajabu!

but still people make money!!

mshahara wako wa laki mbili kwa mwezi, wengine wanautengeneza kwa masaa nane tu!! hapo hamna extra time!!

but relax! things are going to be good one day!
 
mkuu naona unaamka na kulala!!

mi nshaapa, nikikamata mmojawapo kati ya Jawilat, mimi49, farkhina, ama 'Valentina',

watasahau kabisa id zao za jf!! hahahahaaa!!

mwaka mzima tu mnasema walikuwepo! mnaangalia tu manyoya...!!!

No niko mult-tasked siwezi kaa Jf ka niko bed..am doing something as well bloke!!
 
Last edited by a moderator:

Laki 2 saa8?? Ndio mana wanakuja huku kuomba vibarua vya kulima na kujiita 'back packers'. Thats too low wage
 

Mkuu hiyo laki 2 ningelipwa mbona ningeshakuja huko USA? Elfu 75 kwa mwezi nakula,Nina wake 2 mmoja yupo hapa hapa jukwaani anaitwa mimi49 mwingine mama chanja yuko masasi maisha yanakwenda
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…