nani walikuwa ma partners wenu?

nani walikuwa ma partners wenu?

mmmhhh wale wenzangu wa "DETERMINATION IS OUR MOTTO" mpo nakumbuka enzi hizo za Wiboneke....MZUKILA!!!!!!!!!!!!!!
 
mi shule ya masister tuliuwa na mapatner maflateri na mafaza...usipime
 
Mbwiga 88 umenikumbusha mbali na Mzukila! Nakumbuka sie ndo tulikiwa form six wa kwanza ku graduate na Mzukila! Enzi hizo ukwata wa Mzumbe na Kilakala umenoga usipime!
 
mbwiga 88 umenikumbusha mbali na mzukila! Nakumbuka sie ndo tulikiwa form six wa kwanza ku graduate na mzukila! Enzi hizo ukwata wa mzumbe na kilakala umenoga usipime!

hahahaha n,garaa mzumbesec
 
Haswaaa...hiyo wiki waliyotembeza mkong'oto ilikuwa heka heka hapa mjini maana kila mwanafunzi wa shule nyingine alikuwa anadundwa...
Since then shule ikaja kufungwa kwa muda na wale madent wakasambazwa mashule mengine...baadaye ndiyo ikafanywa kuwa A-Level tu...
Aisee! umenikumbusha mbali enzi hizo nilikuwepo Tambaza tulisambazwa mikoani baada ya ugomvi na Azania.
 
Enzi hizo nakumbuka kuna kipindi natoka tambaza natumbukia mzumbe nikakuta watu wanacheza disco mchana na kilakala(solar debe kwa wale mnaokumbuka)
 
Nakumbuka moro sec na st.peter mzumbe na kilakala weeee ilikuwa balaa siku ya magesti (visting day) hapana chezeya
 
Lazalaza magesti ya Kilakala ilikuwa noma! Siku ikifika mtu unakaa standby unamsubiri patner wako from Mzumbe aje kukusalimu! Siku hyo no kusoma mawazo yote kwa 'mzumbe boy'
 
Mie nakumbuka songea boys na songea girls hawa mabinti tulikuwa tunawaita tamsala,nakumbuka wakati es mziki laini watu wanabambia zero distance sasa kuna wale wagumu aka masela walikuwa wanakumbatia nguzo.aaah alafu mnakuwa na uniform mbili za kanisani sababu mnakutana na mabinti na za skul.
 
Lazalaza magesti ya Kilakala ilikuwa noma! Siku ikifika mtu unakaa standby unamsubiri patner wako from Mzumbe aje kukusalimu! Siku hyo no kusoma mawazo yote kwa 'mzumbe boy'


Kighane- yaani tulikuwa tunapishana wiki yaani Moro sec magesti Kilakala shopping,sasa huku Mananga kule Mkuya watu weweeeeee hatariiiiiii.disko holini
 
Wazumbe partners wetu walikuwa Kilakala (Kiley). Wakati mwengine ilitokea wakatutosa tukawa tunazugia na Moro Sec.
Kabla ya kulikwea lori la mzee Morris ilikuwa lazima twende Changalawe au Cheng kupata stimu ya mnanasi au mtunda then unasukutua na safari mbili pale IDM lecturers club ili harufu ya mnanasi iishe.
Baada ya disco wengine haturudi tunachukua room pale Sofia hotel. Room moja watu 15. Kesho yake tunaendeleza libeneke Moro Hotel disco/Shimoni
 
Wazumbe partners wetu walikuwa Kilakala (Kiley). Wakati mwengine ilitokea wakatutosa tukawa tunazugia na Moro Sec.
Kabla ya kulikwea lori la mzee Morris ilikuwa lazima twende Changalawe au Cheng kupata stimu ya mnanasi au mtunda then unasukutua na safari mbili pale IDM lecturers club ili harufu ya mnanasi iishe.
Baada ya disco wengine haturudi tunachukua room pale Sofia hotel. Room moja watu 15. Kesho yake tunaendeleza libeneke Moro Hotel disco/Shimoni



Ndo maana tuliwatosa jumla kwenye Umiseta sasa usiniumizie huyo wangu mwenyewe uuuuwiiii haiwezi rudia tena.Kimbembe mkifanya igizo baba na mama inakuwa balaa kwa kilakala na Mzumbe
 
Nganza girl = nyegezi seminary a.k.a wakorintho lkn mara nyingi disko tulikua tunaenda bwiru boys, basi nsumba sec walikua wananuna haooooooooooooo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
galanos boyz vs kôrogwe girlz

ilikuwa hapatosh
yanu watu walikuwa wanaruka kwanja paka kern

lol
 
Lazalaza enzi za mama Mkuyua miaka ya tisini ile! Tukija mzumbe disco tunapanda mgari wetu ule mlori mkubwa wenyewe tulikuwa tunauita 'mchuma'. Halafu kama disco linafanyika Kilakala mkija mlikuwa mnakaa pale chini ya mkungu karibu na rosary hall siku hz panaitwa nyerere hall! Enzi hzo jamani...! Those old good days! Bond ya Mzumbe na Kilakala haitakaa ife! Hz shule mbili zina historia kubwa!
 
Back
Top Bottom