papag
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 1,171
- 1,733
Habari Wakuu?
hii ni spesheli kwa wale waliosoma kipindi kilee change mwalimu mpaka mzee rukwa.mliofanikiwa kufika sekondari za bweni. wakati wa madisco shule zilikuwa na partners wako.naanza kwa hawa:-
mzumbe SEC=Kilakala secondary
Mazengo=Msalato secondary
....
,...Unaweza endeleza shule zingine na si Vibaya ukaweka na kumbukumbu ya mambo yaliyojiri kipindi hicho.nawakilisha
hii ni spesheli kwa wale waliosoma kipindi kilee change mwalimu mpaka mzee rukwa.mliofanikiwa kufika sekondari za bweni. wakati wa madisco shule zilikuwa na partners wako.naanza kwa hawa:-
mzumbe SEC=Kilakala secondary
Mazengo=Msalato secondary
....
,...Unaweza endeleza shule zingine na si Vibaya ukaweka na kumbukumbu ya mambo yaliyojiri kipindi hicho.nawakilisha