Hii nchi tumefika hapa tulipofika ni kwakuwa kumekuwa tayari na tabaka.
Toka tumeanza mchakato wa Uchaguzi kuna matukio mengi mengi na mengi sana, wahanga wa matukio haya ni vyama vyote vya upinzani tu ndio wameonekana wakifanya matukio kama yote. je ccm wako perfect sana na hakuna hata mmoja aliye dhibitika kufanya makosa? kumdhalilisha mbunge, kuwarushia mawe wagombea, kuwateka wanao rejesha fomu za kugombea.
TUME YA UCHAGUZI na POLISI dhamana ya kuwatumikia wananchi wote kwa usawa mnayo ninyi, chanzo cha kuwagawa na kuleta matabaka na chuki yaweza mkawa ninyi ndio wa kuanzisha swala hili ila msifike huko. Mtu akiwa suspect na ushahidi ukipatikana ahukumiwe, mwenye haki yake apewe vinginevyo tutakuwa taifa la ajabu sana sana kama ninyi wenye dhamana hamtafanya kazi vizuri kwa kutobaguana.
MUNGU IBARIKI NCHI YA TANZANIA, UIPE AMANI NA UWAPE VIONGOZI HEKIMA NA BUSARA
Toka tumeanza mchakato wa Uchaguzi kuna matukio mengi mengi na mengi sana, wahanga wa matukio haya ni vyama vyote vya upinzani tu ndio wameonekana wakifanya matukio kama yote. je ccm wako perfect sana na hakuna hata mmoja aliye dhibitika kufanya makosa? kumdhalilisha mbunge, kuwarushia mawe wagombea, kuwateka wanao rejesha fomu za kugombea.
TUME YA UCHAGUZI na POLISI dhamana ya kuwatumikia wananchi wote kwa usawa mnayo ninyi, chanzo cha kuwagawa na kuleta matabaka na chuki yaweza mkawa ninyi ndio wa kuanzisha swala hili ila msifike huko. Mtu akiwa suspect na ushahidi ukipatikana ahukumiwe, mwenye haki yake apewe vinginevyo tutakuwa taifa la ajabu sana sana kama ninyi wenye dhamana hamtafanya kazi vizuri kwa kutobaguana.
MUNGU IBARIKI NCHI YA TANZANIA, UIPE AMANI NA UWAPE VIONGOZI HEKIMA NA BUSARA