Nani unamu-admire hapa JF?

Nani unamu-admire hapa JF?

Manyanza na Dr Lizzy mi naomba kuuliza, why huwa niki ji distance kutoka kwa watu baadhi.

Hao watu Wana geuka haters aisee??, hakuna conflict, ila una shangaa kijana ana lipuka tu??
IB nadhani tatizo linaweza kuwa kwenye approach yako.

Kama hutaki kujihusisha na mtu tena, wewe ndio ukae mbali nae badala ya kumwambia yeye akae mbali na wewe. Especially kama hajakukosea chochote.
 
IB nadhani tatizo linaweza kuwa kwenye approach yako.

Kama hutaki kujihusisha na mtu tena, wewe ndio ukae mbali nae badala ya kumwambia yeye akae mbali na wewe. Especially kama hajakukosea chochote.
Huwa nakaa na observe vitu, naona vingine ni excess height tu.

Huwa na hang around na mtu, Kutokana na bond fulani, inaweza kuwa joke, interest ya Jambo au suluhisho fulani.

haupo online, una appear Kisha unaona somebody saying shits that got nothing to do with you.

Na Kama haitoshi, ana force hiyo hate kupeleka kwa wengine, the best way ni ku break bonds tu.

Na Mimi sio mzuri ku run through bushes, ila straight forward ni approach nzuri Sana kwangu
 
Back
Top Bottom