Wervemarcel
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 2,390
- 3,293
Nawasalimu wote!
Kuna msemo "we are what we are because of other people"
Ni ukweli kabisa kwenye hekaheka zetu za kila siku tunafanya mambo mengi makubwa kwa kuiga mfano toka kwa mtu au watu fulani.
Niwe muwazi kwa hapa bongo ninao watu wanaonifanya niwe mtu wa tofauti kwenye nyanja mbalimbali kwa mfano kwenye siasa namkubali sana Andrew Chenge, kwenye sheria Lissu, kwenye utajiri Nimrod Mkono.
1. Andrew Chenge
Amenifanya nidhamirie kuwa mwanasiasa wa aina yake. Sijui nitampataje nionane nae uso kwa uso.
2. Tundu Lissu
Amenifanya niipende taaluma ya sheria ukiachalia mbali nilikuwa mpenzi wa sayansi lakini huyu mtu amenifanya nigundue wito wangu ni kuwa lawyer.
3. Nimrod Mkono
Mbali na utajiri wake kutotangazwa hovyo naamini hakuna mtanzania anaye mvaa kifedha. Anyway, nimevutiwa na style ya utajiri wake.
Ningependa kujua kutoka kwenu watu walio saidia kukubadilisha kimtazamo, kifikra, kitabia, kimaendeleo nk....
Kuna msemo "we are what we are because of other people"
Ni ukweli kabisa kwenye hekaheka zetu za kila siku tunafanya mambo mengi makubwa kwa kuiga mfano toka kwa mtu au watu fulani.
Niwe muwazi kwa hapa bongo ninao watu wanaonifanya niwe mtu wa tofauti kwenye nyanja mbalimbali kwa mfano kwenye siasa namkubali sana Andrew Chenge, kwenye sheria Lissu, kwenye utajiri Nimrod Mkono.
1. Andrew Chenge
Amenifanya nidhamirie kuwa mwanasiasa wa aina yake. Sijui nitampataje nionane nae uso kwa uso.
2. Tundu Lissu
Amenifanya niipende taaluma ya sheria ukiachalia mbali nilikuwa mpenzi wa sayansi lakini huyu mtu amenifanya nigundue wito wangu ni kuwa lawyer.
3. Nimrod Mkono
Mbali na utajiri wake kutotangazwa hovyo naamini hakuna mtanzania anaye mvaa kifedha. Anyway, nimevutiwa na style ya utajiri wake.
Ningependa kujua kutoka kwenu watu walio saidia kukubadilisha kimtazamo, kifikra, kitabia, kimaendeleo nk....