Nani ni mtawala wa ulimwengu huu, Mungu au Shetani?

"Wewe Bwana Mungu wetu,jinsi lilivyo kuu na tukufu Jina lako DUNIANI KOTE.

Wewe umeuweka utukufu wako mbinguni,vinywani mwa watoto wachanga na wanyonyao umeiweka misingi ya nguvu,kwa ajili yao wanaoshindana nawe,uwakomeshe adui na kujilipiza kisasi.

Nikiziangalia mbingu zako,kazi za mikono yako, mwezi na nyota ulizoratibisha, mtu ni kitu gani hata umkumbuke na binadamu hata umwangalie?

UMEMFANYA MDOGO PUNDE KULIKO MUNGU,UMEMVIKA TAJI YA UTUKUFU NA HESHIMA, UMEMTAWAZA JUU YA KAZI ZA MIKONO YAKO, UMEVITIA VYOTE CHINI YA MIGUU YAKE..."(ZABURI 8).
 
Kama ndiyo hivyo maandiko nayo hayahaminiki, what if nikifikiri kivingine kuwa hamna aliyeniumba wala kunipa akili au uhuru nilionao na hata hayo maandiko ni mambo ya wanadamu tu, je nitakuwa sawa?
Kuna nadharia zimewapoteza binadam kifikra;
1. Dunia imetokea yenyewe by chance.

2. Binadam alikuwa sokwe(nyani tu).

3. Binadam ndio mpangaji wa kila jambo kwenye maisha (ndoto zake).

Nadharia zote hapo juu sio kweli.
Haiwezekani dunia itokee tu by chance mpangilio wa matukio ya dunia inaonesha wazi yupo dereva(ALLAH) MUNGU...anaye msimamia hadi shetani mwenyewe.

Imethibitika kisayansi binadam hakuwahi kuwa sokwe haitatokea awe sokwe.

Na maisha ya binadam toka kuzaliwa mpaka kufa yanaendeshwa na MUNGU (ALLAH S.W).
 
Kuna nadharia zimewapoteza binadam kifikra;
1.dunia imetokea yenyewe by chance.
2.binadam alikuwa sokwe(nyani tu)
3. Binadam ndio mpangaji wa kila jambo kwenye maisha(ndoto zake).
Nadharia zote hapo juu sio kweli.
Haiwezekani dunia itokee tu by chance mpangilio wa matukio ya dunia inaonesha wazi yupo dereva(ALLAH) MUNGU...anaye msimamia hadi shetani mwenyewe..
Imethibitika kisayansi binadam hakuwahi kuwa sokwe haitatokea awe sokwe.
Na maisha ya binadam toka kuzaliwa mpaka kufa yanaendeshwa na MUNGU(ALLAH S.W)...
Kiuhalisia hamna nadharia yeyote ile iwe ya kibinadamu (sayansi) au ya kimiungu(imani) ambayo imewahi kuwa na majibu yasiyotia mashaka juu ya chanzo cha kila kitu, hivyo hili tuliache tu maana bado halina majibu haijalishi utajielezea vipi kuhusu Mungu wako na mimi ntajielezea vipi kwa logic, mwisho ni kuwa hamna majibu.

Tujadili mada yetu iliyojikita katika imani juu ya nani haswaa ni mtawala wa ulimwengu.
 
"Wewe Bwana Mungu wetu,jinsi lilivyo kuu na tukufu Jina lako DUNIANI KOTE...

Mathayo 4:8-10 kisha ibilisi akamchukua mpaka mlima mrefu mno, AKAMWONYESHA MILKI ZOTE ZA ULIMWENGU, na fahari yake, akamwambia, HAYA YOTE NTAKUPA, ukianguka na kunisujudia.

Ndipo Yesu alipomwambia, Nenda zako, shetani; kwa maana imeandikwa, Msujudu Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.

Swali; kwanini Yesu akumkemea kuwa hauna mamlaka yeyote duniani na vyote vilivyomo ulimwenguni ni vya Mungu?

Zaburi 8 "....umemfanya mdogo punde kuliko Mungu, umemvisha taji ya utukufu na heshima, umemtawaza juu ya kazi ya mikono yako, umevitia vyote chini ya miguu yake (binadamu)"

Swali; Kwanini Yesu, kwa kutambua binadamu ndiye mfalme wa dunia na vilivyomo, mbona akumkemea shetani asijimilikishe sifa na utukufu wa binadamu?
 
Kuna nadharia zimewapoteza binadam kifikra;
1.dunia imetokea yenyewe by chance.
2.binadam alikuwa sokwe(nyani tu)
3. Binadam ndio mpangaji wa kila jambo kwenye maisha(ndoto zake).
Nadharia zote hapo juu sio kweli.
Haiwezekani dunia itokee tu by chance mpangilio wa matukio ya dunia inaonesha wazi yupo dereva(ALLAH) MUNGU...anaye msimamia hadi shetani mwenyewe..
Imethibitika kisayansi binadam hakuwahi kuwa sokwe haitatokea awe sokwe.
Na maisha ya binadam toka kuzaliwa mpaka kufa yanaendeshwa na MUNGU(ALLAH S.W)...
Kwani uumbaji (creation) sio nadharia?

Kama ni ndio
Na huoni pia kama imepotosha wanadamu wengi kifikra?
 
YESU NDIYE MWENYE MAMLAKA LAKINI SHETANI NDIYE MTAWALA.


MATHAYO 28:18.

18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu.

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
Mathayo 28:20

YESU NDIYE MWENYE MAMLAKA LAKINI SHETANI NDIYE MTAWALA
Inawezekana vipi kutenganisha utawala na mamlaka?
Huu ni mpango tu wa kupangua hoja lakini ukweli ni kwamba hivi vitu vinaenda sawa.

Akili yangu inaniambia kabsa kuwa hivi vitu vinatembea pamoja. Na kujiridhisha According to weekpedia wanasema haya

_20230506_081707.JPG



Sas hii yako vipi, au ndo tafsiri yenye uvuvio wa roho mtakatifu?
 
Sasa sisi tunaingizweje kwenye bifu zao?

Si watafute Kasayar wakapigane atarnshinda atufate sisi tusiohusika atupe amani?
 
Umefuatilia vizuri maandiko. Ila ipo tofauti kubwa ya ulimwengu wa giza (uovu) na ulimwengu wa nuru (wema, ukombozi au utakatifu).

Mkuu wa giza ni shetani wakati Yesu Kristo ni nuru ya ulimwengu.
 
Biblia ina andiko la wakati Mungu akimpa Adam mamlaka ya dunia, Adam anashindwa kuitii amri ya Mungu na hatimaye anaishia kumkabidhi mamlaka hayo shetani.

Quran inasema "isipokuwa kwa wajakazi (wafuasi) wangu (shetani) hauna mamlaka yeyote juu yao, isipokuwa kwa wale wanaokufuata(wanaokutii)

Tunaona katika vitabu hivi viwili vya imani kuwa shetani amepewa mamlaka juu ya watu wa Mungu kwa sababu ya dhambi.

Je, maandiko yanasemaje kuhusiana na Mungu kuwa ndiye mmliki au mtawala wa ulimwengu huu.

Yesu anasema "mamlaka yote nimekabidhiwa mimi, mbinguni na duniani" mathayo 28:18

Katika sala ya Bwana ndani ya mathayo 6:13 inaishilia na mstari huu "...kwa kuwa ufalme ni wako na nguvu na utukufu, milele, amina! (Andiko hili limewekwa kwenye mabano katika toleo la biblia ya NASB na limeondolewa katika NIV, RSV na ESV)

Waefeso 1:20-22 inasema "Akamwinua kutoka katika mauti na akamweka mkono wa kulia.....na akaweka kila kitu chini ya miguu yake"

Daniel 4:17, 25, 26, mara tatu inatuambia "Aliye juu zaidi uongoza ufalme wa binadamu na umpa yeyote amtakaye"

2 wakolosai 20:6 inathibitisha "Ewe Mwenyezi Mungu wa baba zetu, je siye Mungu wa mbinguni? Na utawalaye falme zote hata za wapagani? Na katika mkono wako je hakuna nguvu na uwezo, kiasi hakuna hawezae kuhimili?"

Je, maandiko yanasemaje kuhusiana na Shetani kuwa mtawala au mmliki wa ulimwengu huu?

Luka 4:6, Shetani akamjaribu Bwana Yesu jangwani, shetani akamwambia Yesu kuwa ufalme wote wa duniani ni wangu na nampa yeyote yule nimtakaye. (Kumbuka kauli hii ni kinyume na Daniel 4:17,25,26)

Mathayo 4:4 shetani akaahidi kumpa kristo utawala wa dunia kama zawadi ya kumwinamia na kumwabudu.

Tuangalie katika matoleo kadhaa ya biblia tukianza na NIV "Dunia iko chini ya utawala wa mwovu"
Warumi 12:9, NKJV, NASB katika mathayo 5:37 na 6:13, Holman standard, ESV (vitabu vyote vinathibitisha kuwa shetani ndiye "Mtawala wa ulimwengu" Yohana 12:31,14:30 na 16:11)

Yohana 14:30 Sitosema tena mengi nanyi kwa sababu mtawala wa dunia hii anakuja. Yeye hana uwezo juu yangu.

Yohana 12:31-33 "Wakati wa Mungu kutamka hukumu juu ya ulimwengu imetimia, huu ni wakati ambao shetani, MTAWALA WA DUNIA hii, 'ATAPINDULIWA' nami nitakapoinuliwa kutoka ardhini nitawavuta watu wote waje kwangu.

Waefeso 2:1-3 Ninyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya dhambi zenu. Na hata sisi sote tulikuwa kama wao;tuliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, MKAMTII MTAWALA WA PEPO WENYE NGUVU WA ANGA, pepo ambao hutawala sasa watu wasiomtii Mungu. Na hata sisi sote tulikuwa kama wao;tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kidunia na kufanya mambo yale yaliyo ipendeza miili na akili zetu ila dunia, sisi kama vile pia wao, tulistahili ghadhabu ya Mungu.

Waefeso 6:12-13 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya WAKUU WA GIZA NA MAJESHI YA PEPO WABAYA katika ulimwengu wa kiroho.

Tunaona pia kuwa hata malaika mkuu Mikaeli mamlaka yake haizidi ile ya shetani, Yuda 1:9 kwamba hata ' Mikaeli malaika mkuu, katika ule ubishi na ibilisi juu ya mwili wa musa, Mikaeli akuthubutu kumshitaki kwa kumlahumu bali alisema, Bwana na akukemee.

Yesu mwenyewe alimwita shetani 'mtawala wa ulimwengu' Yohana 16:11

Ni wazi kuwa kulingana na maandiko haya, shetani ana mamlaka katika dunia. Na mifumo ya ulimwengu mzima inaendeshwa kulingana na design alizoamua. (Angalia tena, waefeso 2:2)

Ndiyo maana wenye kuiamini hekima toka kwa Mungu wanaonekana kama wajinga na waliopotoka kwa sababu mtizamo wao ni tofauti kabisa na hekima ya kiulimwengu. (1wakorintho 1:21-25)

Shetani utawala juu ya mifumo ya ulimwengu na Biblia inathibitisha hili kwa kukazia "Je hamtambui kuwa rafiki wa dunia ni adui wa Mungu? Yeyote atakaye kuwa rafiki wa dunia ujifanisha mwenyewe kuwa adui wa Mungu (James 4:4)(1 Yohana 2:15) inaamuru" usipende ulimwengu au vitu vyake, endapo mtu atapenda ulimwengu, upendo wa baba hautokuwa nae; kwa sababu adui wa Mungu ni MTAWALA WA ULIMWENGU.

Kama haitoshi katika Quran shetani kuonesha mamlaka na uwezo wake anamwakikishia Allah kuwa "Nitawaendea uso kwa uso, na kwa kutokea nyuma, na kutokea kulia na kwa kutokea kushoto" (I shall approach them head on and from behind and from the right and from the left)

Kulingana na ushahidi wa maandiko matakatifu hayo hapo juu yamhusuyo Mungu na Shetani toka katika pande zote mbili,

1. Wewe kama mwamuzi, toa jibu lako na sababu kuwa nani ni mtawala halisi wa ulimwengu huu?

2. Ikiwa unadhani shetani ndiye mtawala wa ulimwengu, Je ni haki kuishi kinyume nae kwa kutii amri za mamlaka nyingine?

3. Ikiwa unadhani Mungu ndiye mtawala wa ulimwengu, Je ni haki kuendelea kumshtumu shetani aliye ndani ya mamlaka yake?
Asante!!!!!! yote uliyo nena ni sahihi, lakini bado una swali la kuonesha contradiction!!! Hivyo nakuondolea contraction!!!!! kuna kitu kinaitwa UFALME WA MUNGU!!!!! unakumbuka jibu la Yesu?? kwamba ufalme wa Mungu upo kati kati Yenu that means Hapa duniani kuna ufalme wa Mungu, na pia Yesu alisema mkiwa duniani tafuta kwanza UFALME WA MUNGU!!!!
Maana yake!!!! Utawala wa Mungu upo duniani hapa hapa!!
SWALI!!!

1. JE NANI YUPO KWENYE UTAWALA WA SHETANI (mungu wa dunia) HAPA DUNIANI??

2. NANI YUPO KWENYE UTAWALA WA MUNGU Hapa DUNIANI (Mungu wa Mbinguni na duniani & ulimwengu & Yeye anaye kaa juu ya Mbingu)


Nitaanza kujibu swali la PILI

2. UFALME WA MUNGU (UTAWALA. WA MUNGU ) kama nilivyosema kwamba upo hapa duniani UTAUPATA kwa kuzaliwa upya soma story ya Yesu na NICODEMUS yohane 3 ukipata muda soma yote ukikosa muda soma verse hii ya (((YOHANE 3:3 Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu))).....kuzaliwa upya maana yake nini jibu lipo kwenye Yohane 3, maana Nicodemus alimuuliza Yesu kuzaliwa upya maana yake nini?? Nitakupa jibu fupi la maana ya kuzaliwa upya (((2 WAKORINTO: 5:17 Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama! Yamekuwa mapya...)))
SO YEYOTE ALIYE MPOKEA YESU na KUMUAMINI na kufuata yale anayosema WAPO KWENYE UFALME WA MUNGU (UTAWALA WA MUNGU)

Namalizia swali la kwanza

1. YEYOTE yule aliyepo hapa Duniani AMBAYE HAJAMWAMINI YESU YUPO KWENYE UFALME WA SHETANI (utawala wa SHETANI).....Biblia imeahidi mateso makali sana yatawapata wale Wasio mwamini YESU siku MTAWALA WAO shetani atakapo wagueka, kumbuka ulivyosema katika maada kwamba SHETANI PIA ni mungu wa dunia hii NO WONDER TODAY MANY PEOPLE WORSHIP DEVIL thinking that THEY WORSHIP TRUE GOD because the devil is able to Imitate GOD



...........Kumbuka Yesu alileta maada ya Utawala wa Shetani baada ya kuona watu wana mpinga na hawamuamini hivyo anawaambia nyinyi mnafananana na BABA yenu shetani ni MWONGO ni Muaribifu ni muuaji John 8:44,
mungu yoyote yule ambaye amekudanganya kuhusu Yesu amekwenda kinyume na Yesu basi huyo ni SHETANI mungu wa dunia, na lazima awashawishi watu wake wawauwe wanao muamini Yesu ... au yoyote asiyemwamini Yeye......JESUS rejected to worship him but some people worship him today AS THEIR GOD the father their creator



ONE LOVE TUPENDANE sote ... mimi pia niliye andika hapa ni mtenda dhambi but I'm telling you the truth (TRUTH TO SET YOU FREE)
 
Ana utawala Kote, kiroho na kimwili, ndiye mtawala wa 'Dunia' na ndiye mfalme wa 'Anga', ndiye mtawala wa 'Giza', Kumbukeni vita vyetu si vya damu na nyama bali dhidi ya majeshi ya 'Kiroho' yanayoongozwa na shetani.

Na yeye ndiye fundi aliyedizaini dunia tuionayo na kuipenda kwa maana aipendaye dunia na anasa zake (binadamu kuwa na urafiki na dunia) anamchukiza Mungu, kwa kuwa mtawala wa ulimwengu huu ni adui wa Mungu.
Ni kama vile sisi ni bidhaa adimu sana ambayo shetani aliipora kutoka kwa mkulima, akatengeneza chimbo lake (dunia) ndo akatuficha huku na kutuwekea vitu vizuri zuri ili tusikumbuke kbs tulikotoka!

Sasaaa.. yeye mungu na shetani kutupambania kote huko wao wanapata nn kutoka kwetu!?

Au ni kama vile mfugaji (mungu) anavopambana na simba (shetani) na kila mmoja anajiona ana haki ya kuwatumia ng'ombe!?
 
Biblia ina andiko la wakati Mungu akimpa Adam mamlaka ya dunia, Adam anashindwa kuitii amri ya Mungu na hatimaye anaishia kumkabidhi mamlaka hayo shetani.

Quran inasema "isipokuwa kwa wajakazi (wafuasi) wangu (shetani) hauna mamlaka yeyote juu yao, isipokuwa kwa wale wanaokufuata(wanaokutii)

Tunaona katika vitabu hivi viwili vya imani kuwa shetani amepewa mamlaka juu ya watu wa Mungu kwa sababu ya dhambi.

Je, maandiko yanasemaje kuhusiana na Mungu kuwa ndiye mmliki au mtawala wa ulimwengu huu.

Yesu anasema "mamlaka yote nimekabidhiwa mimi, mbinguni na duniani" mathayo 28:18

Katika sala ya Bwana ndani ya mathayo 6:13 inaishilia na mstari huu "...kwa kuwa ufalme ni wako na nguvu na utukufu, milele, amina! (Andiko hili limewekwa kwenye mabano katika toleo la biblia ya NASB na limeondolewa katika NIV, RSV na ESV)

Waefeso 1:20-22 inasema "Akamwinua kutoka katika mauti na akamweka mkono wa kulia.....na akaweka kila kitu chini ya miguu yake"

Daniel 4:17, 25, 26, mara tatu inatuambia "Aliye juu zaidi uongoza ufalme wa binadamu na umpa yeyote amtakaye"

2 wakolosai 20:6 inathibitisha "Ewe Mwenyezi Mungu wa baba zetu, je siye Mungu wa mbinguni? Na utawalaye falme zote hata za wapagani? Na katika mkono wako je hakuna nguvu na uwezo, kiasi hakuna hawezae kuhimili?"

Je, maandiko yanasemaje kuhusiana na Shetani kuwa mtawala au mmliki wa ulimwengu huu?

Luka 4:6, Shetani akamjaribu Bwana Yesu jangwani, shetani akamwambia Yesu kuwa ufalme wote wa duniani ni wangu na nampa yeyote yule nimtakaye. (Kumbuka kauli hii ni kinyume na Daniel 4:17,25,26)

Mathayo 4:4 shetani akaahidi kumpa kristo utawala wa dunia kama zawadi ya kumwinamia na kumwabudu.

Tuangalie katika matoleo kadhaa ya biblia tukianza na NIV "Dunia iko chini ya utawala wa mwovu"
Warumi 12:9, NKJV, NASB katika mathayo 5:37 na 6:13, Holman standard, ESV (vitabu vyote vinathibitisha kuwa shetani ndiye "Mtawala wa ulimwengu" Yohana 12:31,14:30 na 16:11)

Yohana 14:30 Sitosema tena mengi nanyi kwa sababu mtawala wa dunia hii anakuja. Yeye hana uwezo juu yangu.

Yohana 12:31-33 "Wakati wa Mungu kutamka hukumu juu ya ulimwengu imetimia, huu ni wakati ambao shetani, MTAWALA WA DUNIA hii, 'ATAPINDULIWA' nami nitakapoinuliwa kutoka ardhini nitawavuta watu wote waje kwangu.

Waefeso 2:1-3 Ninyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya dhambi zenu. Na hata sisi sote tulikuwa kama wao;tuliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, MKAMTII MTAWALA WA PEPO WENYE NGUVU WA ANGA, pepo ambao hutawala sasa watu wasiomtii Mungu. Na hata sisi sote tulikuwa kama wao;tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kidunia na kufanya mambo yale yaliyo ipendeza miili na akili zetu ila dunia, sisi kama vile pia wao, tulistahili ghadhabu ya Mungu.

Waefeso 6:12-13 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya WAKUU WA GIZA NA MAJESHI YA PEPO WABAYA katika ulimwengu wa kiroho.

Tunaona pia kuwa hata malaika mkuu Mikaeli mamlaka yake haizidi ile ya shetani, Yuda 1:9 kwamba hata ' Mikaeli malaika mkuu, katika ule ubishi na ibilisi juu ya mwili wa musa, Mikaeli akuthubutu kumshitaki kwa kumlahumu bali alisema, Bwana na akukemee.

Yesu mwenyewe alimwita shetani 'mtawala wa ulimwengu' Yohana 16:11

Ni wazi kuwa kulingana na maandiko haya, shetani ana mamlaka katika dunia. Na mifumo ya ulimwengu mzima inaendeshwa kulingana na design alizoamua. (Angalia tena, waefeso 2:2)

Ndiyo maana wenye kuiamini hekima toka kwa Mungu wanaonekana kama wajinga na waliopotoka kwa sababu mtizamo wao ni tofauti kabisa na hekima ya kiulimwengu. (1wakorintho 1:21-25)

Shetani utawala juu ya mifumo ya ulimwengu na Biblia inathibitisha hili kwa kukazia "Je hamtambui kuwa rafiki wa dunia ni adui wa Mungu? Yeyote atakaye kuwa rafiki wa dunia ujifanisha mwenyewe kuwa adui wa Mungu (James 4:4)(1 Yohana 2:15) inaamuru" usipende ulimwengu au vitu vyake, endapo mtu atapenda ulimwengu, upendo wa baba hautokuwa nae; kwa sababu adui wa Mungu ni MTAWALA WA ULIMWENGU.

Kama haitoshi katika Quran shetani kuonesha mamlaka na uwezo wake anamwakikishia Allah kuwa "Nitawaendea uso kwa uso, na kwa kutokea nyuma, na kutokea kulia na kwa kutokea kushoto" (I shall approach them head on and from behind and from the right and from the left)

Kulingana na ushahidi wa maandiko matakatifu hayo hapo juu yamhusuyo Mungu na Shetani toka katika pande zote mbili,

1. Wewe kama mwamuzi, toa jibu lako na sababu kuwa nani ni mtawala halisi wa ulimwengu huu?

2. Ikiwa unadhani shetani ndiye mtawala wa ulimwengu, Je ni haki kuishi kinyume nae kwa kutii amri za mamlaka nyingine?

3. Ikiwa unadhani Mungu ndiye mtawala wa ulimwengu, Je ni haki kuendelea kumshtumu shetani aliye ndani ya mamlaka yake?


Mwanadamu ndo Mtawala, Mwanzo 1.26 - 27..

- Mwanadamu ni roho, anamiliki nafsi, anaishi kwenye mwili, mwenye sifa hizi ndo anatawala.

  • Mungu ni roho.
  • Shetani ni roho.

Mungu na Shetani hawana sifa za Kumiliki dunia mwenyewe (Mungu ameamua hivyo)

Ni lazima wamtumie Mwanadamu kuweka kuleta ushawishi duniani, Ndo maana kuna watu wa Mungu na waovu.

Waovu uuleta ushawishi wa shetani, na wazuri uuleta ushawishi wa Mungu (Mathayo 7.7...... Ufalme wako uje - Ni kama kumruhusu Mungu)

Ndo maana mabaya yote yanayotokea duniani mwanadama anawajibika, sio Mungu, maana kamruhusu shetani kwa kiwango kikubwa.
 
Mkuu wa ulimwengu huu ni shetani , Mungu alimkabidhi kisheria , hata hvyo utawala wake sio kamili sababu si wote wanaomtii shetani na hili ndo linamuumiza kichwa mwamba
Unaweza kunitajia mtu mmoja tu ambae hafanyi zambi?
 
Ana utawala Kote, kiroho na kimwili, ndiye mtawala wa 'Dunia' na ndiye mfalme wa 'Anga', ndiye mtawala wa 'Giza', Kumbukeni vita vyetu si vya damu na nyama bali dhidi ya majeshi ya 'Kiroho' yanayoongozwa na shetani.

Na yeye ndiye fundi aliyedizaini dunia tuionayo na kuipenda kwa maana aipendaye dunia na anasa zake (binadamu kuwa na urafiki na dunia) anamchukiza Mungu, kwa kuwa mtawala wa ulimwengu huu ni adui wa Mungu.
Huyo Mungu wenu nae Hana akili kabisa kwa nini ajitengenezee adui
 
Kuna nadharia zimewapoteza binadam kifikra;
1. Dunia imetokea yenyewe by chance.

2. Binadam alikuwa sokwe(nyani tu).

3. Binadam ndio mpangaji wa kila jambo kwenye maisha (ndoto zake).

Nadharia zote hapo juu sio kweli.
Haiwezekani dunia itokee tu by chance mpangilio wa matukio ya dunia inaonesha wazi yupo dereva(ALLAH) MUNGU...anaye msimamia hadi shetani mwenyewe.

Imethibitika kisayansi binadam hakuwahi kuwa sokwe haitatokea awe sokwe.

Na maisha ya binadam toka kuzaliwa mpaka kufa yanaendeshwa na MUNGU (ALLAH S.W).
Ulimwengu hauwezi kutokea by chance lakini Allah anaweza kutokea bay chance.inabidi uwe kichaa kukubali hili
 
Biblia ina andiko la wakati Mungu akimpa Adam mamlaka ya dunia, Adam anashindwa kuitii amri ya Mungu na hatimaye anaishia kumkabidhi mamlaka hayo shetani.

Quran inasema "isipokuwa kwa wajakazi (wafuasi) wangu (shetani) hauna mamlaka yeyote juu yao, isipokuwa kwa wale wanaokufuata(wanaokutii)

Tunaona katika vitabu hivi viwili vya imani kuwa shetani amepewa mamlaka juu ya watu wa Mungu kwa sababu ya dhambi.

Je, maandiko yanasemaje kuhusiana na Mungu kuwa ndiye mmliki au mtawala wa ulimwengu huu.

Yesu anasema "mamlaka yote nimekabidhiwa mimi, mbinguni na duniani" mathayo 28:18

Katika sala ya Bwana ndani ya mathayo 6:13 inaishilia na mstari huu "...kwa kuwa ufalme ni wako na nguvu na utukufu, milele, amina! (Andiko hili limewekwa kwenye mabano katika toleo la biblia ya NASB na limeondolewa katika NIV, RSV na ESV)

Waefeso 1:20-22 inasema "Akamwinua kutoka katika mauti na akamweka mkono wa kulia.....na akaweka kila kitu chini ya miguu yake"

Daniel 4:17, 25, 26, mara tatu inatuambia "Aliye juu zaidi uongoza ufalme wa binadamu na umpa yeyote amtakaye"

2 wakolosai 20:6 inathibitisha "Ewe Mwenyezi Mungu wa baba zetu, je siye Mungu wa mbinguni? Na utawalaye falme zote hata za wapagani? Na katika mkono wako je hakuna nguvu na uwezo, kiasi hakuna hawezae kuhimili?"

Je, maandiko yanasemaje kuhusiana na Shetani kuwa mtawala au mmliki wa ulimwengu huu?

Luka 4:6, Shetani akamjaribu Bwana Yesu jangwani, shetani akamwambia Yesu kuwa ufalme wote wa duniani ni wangu na nampa yeyote yule nimtakaye. (Kumbuka kauli hii ni kinyume na Daniel 4:17,25,26)

Mathayo 4:4 shetani akaahidi kumpa kristo utawala wa dunia kama zawadi ya kumwinamia na kumwabudu.

Tuangalie katika matoleo kadhaa ya biblia tukianza na NIV "Dunia iko chini ya utawala wa mwovu"
Warumi 12:9, NKJV, NASB katika mathayo 5:37 na 6:13, Holman standard, ESV (vitabu vyote vinathibitisha kuwa shetani ndiye "Mtawala wa ulimwengu" Yohana 12:31,14:30 na 16:11)

Yohana 14:30 Sitosema tena mengi nanyi kwa sababu mtawala wa dunia hii anakuja. Yeye hana uwezo juu yangu.

Yohana 12:31-33 "Wakati wa Mungu kutamka hukumu juu ya ulimwengu imetimia, huu ni wakati ambao shetani, MTAWALA WA DUNIA hii, 'ATAPINDULIWA' nami nitakapoinuliwa kutoka ardhini nitawavuta watu wote waje kwangu.

Waefeso 2:1-3 Ninyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya dhambi zenu. Na hata sisi sote tulikuwa kama wao;tuliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, MKAMTII MTAWALA WA PEPO WENYE NGUVU WA ANGA, pepo ambao hutawala sasa watu wasiomtii Mungu. Na hata sisi sote tulikuwa kama wao;tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kidunia na kufanya mambo yale yaliyo ipendeza miili na akili zetu ila dunia, sisi kama vile pia wao, tulistahili ghadhabu ya Mungu.

Waefeso 6:12-13 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya WAKUU WA GIZA NA MAJESHI YA PEPO WABAYA katika ulimwengu wa kiroho.

Tunaona pia kuwa hata malaika mkuu Mikaeli mamlaka yake haizidi ile ya shetani, Yuda 1:9 kwamba hata ' Mikaeli malaika mkuu, katika ule ubishi na ibilisi juu ya mwili wa musa, Mikaeli akuthubutu kumshitaki kwa kumlahumu bali alisema, Bwana na akukemee.

Yesu mwenyewe alimwita shetani 'mtawala wa ulimwengu' Yohana 16:11

Ni wazi kuwa kulingana na maandiko haya, shetani ana mamlaka katika dunia. Na mifumo ya ulimwengu mzima inaendeshwa kulingana na design alizoamua. (Angalia tena, waefeso 2:2)

Ndiyo maana wenye kuiamini hekima toka kwa Mungu wanaonekana kama wajinga na waliopotoka kwa sababu mtizamo wao ni tofauti kabisa na hekima ya kiulimwengu. (1wakorintho 1:21-25)

Shetani utawala juu ya mifumo ya ulimwengu na Biblia inathibitisha hili kwa kukazia "Je hamtambui kuwa rafiki wa dunia ni adui wa Mungu? Yeyote atakaye kuwa rafiki wa dunia ujifanisha mwenyewe kuwa adui wa Mungu (James 4:4)(1 Yohana 2:15) inaamuru" usipende ulimwengu au vitu vyake, endapo mtu atapenda ulimwengu, upendo wa baba hautokuwa nae; kwa sababu adui wa Mungu ni MTAWALA WA ULIMWENGU.

Kama haitoshi katika Quran shetani kuonesha mamlaka na uwezo wake anamwakikishia Allah kuwa "Nitawaendea uso kwa uso, na kwa kutokea nyuma, na kutokea kulia na kwa kutokea kushoto" (I shall approach them head on and from behind and from the right and from the left)

Kulingana na ushahidi wa maandiko matakatifu hayo hapo juu yamhusuyo Mungu na Shetani toka katika pande zote mbili,

1. Wewe kama mwamuzi, toa jibu lako na sababu kuwa nani ni mtawala halisi wa ulimwengu huu?

2. Ikiwa unadhani shetani ndiye mtawala wa ulimwengu, Je ni haki kuishi kinyume nae kwa kutii amri za mamlaka nyingine?

3. Ikiwa unadhani Mungu ndiye mtawala wa ulimwengu, Je ni haki kuendelea kumshtumu shetani aliye ndani ya mamlaka yake?
Introduction (from the book Fairy Magic in the Grimoires)

The purpose of this book is to teach a little-known area of the grimoires: Fairy Magic. A grimoire is a book of magical instructions which gives methods to conjure angels, demons, fairies, and the dead, as well as cast spells. Examples of these books are the Lesser Key of Solomon, the Grand Grimoire, the Grimorium Verum, The Grimoire of Pope Honorius, the Heptameron, The Sacred Magic of Abramelin, The Book of Oberon, The Grimoire of Arthur Gauntlet, The Grimoire of Armadel, Magia Naturalis et Innaturalis, The Cambridge Book of Magic, The Discoverie of Witchcraft, the Little Albert, and many more. It might be said that the grimoire age was between 1200 AD and 1900 AD in Europe, with most grimoires being produced between 1400 AD and 1800 AD.

All these books are connected in some way, and many of them share material from one book to the next. For instance, portions of the Heptameron grimoire such as the Hexagram of Solomon have wound up in dozens of other grimoires. Scattered through these books of magic, among the spells, and invocations to angels and demons, are rituals and spells to conjure Fairies.

In many cases, the grimoires are hopelessly complex. I have been studying them for 25 years, and it is all I can do to understand them sometimes. My goal is to introduce the reader to the fairy magic within the grimoires and giveworkable operations which they may carry out if they are so bold.

Fairy magic in the grimoires is somewhat different than might be expected because the grimoires were a mix of Pagan and Christian ideas. Most grimoires have evocations of angels and demons, with summoning the dead and fairies being less common. Today, interest in fairies and fairy magic is very high, but few people know of the fairy magic within the grimoires. It is my purpose in this book to present real fairy magic, which is to some degree a little known and lost tradition, especially in the
form it is found in within the old grimoires.

All the grimoires were written from somewhat of a Christian perspective. While on one hand, the Inquisition and the witch hunters considered the conjuration of fairies to be a serious crime, equal to summoningdemons, the writers of the grimoires themselves were using Christian language to conjure these spirits.

In modern times, when we think of witches in the old days, we think of people who were persecuted by the Christian Church, and rightly so, because they were, yet at the same time, these witches, those who wrote the grimoires, were using Christian conjurations, names of God, angels, saints, etc., to conjure the spirits. That is what witchcraft was in the old days, at least in the grimoire tradition, of which there is thousands of remaining editions of these old manuals of sorcery. It is obvious that there were once hundreds of thousands of people who used the old grimoires, they are a vast tradition. So, if you want to conjure these fairies and spirits listed in the grimoires, you can go at it in one of two ways. You can try to rewrite the rituals and cut all the Christian stuff out of it, or you can do it “by the book.” For the purposes of this book, the materials are traditional, from the “by the book” perspective. I never intended to write this book. I was led into it by the fairies. Guess what? They don’t care if the conjurations are Christian. This is historical magic, its old, and there is deep power running in it.

I have done all sorts of magic, black and white. For me, I am doing it the old way here, black, white, whatever it is, at least these rituals, that’s my decision. It is too complex to change. I feel that it would lose some of its ancient power if I changed it. I made a few slight modifications or adaptations, which I will point out, but still, this is the old
school. If you choose to work these rituals in the
traditional manner, you will do well. Just be respectful, these are living beings, in another dimension, yes, but very much alive. So be careful and watch your step. There are good and evil fairies, that is well known.

A note on the text. Most of the spells in this book are in the public domain if you know where to look. However, there are a couple exceptions. The material from Sloane MS 3851 is also published as “The Grimoire of Arthur Gauntlet” by David Rankine. I am grateful for his permission to use the material from his printing of Sloane MS 3851 in this book. That would be spells 2, 3, and 9.Also, the material for spells 5 and 6 in this book come from the edition of the grimoire called the Book ofOberon produced by Daniel Harms, Joseph Peterson, and James R Clark. The Book of Oberon is published by Llewellyn Publications. I contacted Daniel Harms andLlewellyn Publications and they were gracious enough to
let me use the Latin translations of the spells 5 and 6 in this book. For that I am eternally grateful.

Now let’s look at a couple of early fairy spells. The
following is an example of what has been called “the table ritual” for the fairies, or “a meal for the fairies.”...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema kuwa BINADAMU NDIYE MTAWALA WA DUNIA kwa kuwa Shetani na Mungu ni Roho tu ila Binadamu ana sifa ya ziada kuliko hao wawili inayomfanya kuwa mtawala halisi wa dunia ambayo ni Roho na Mwili,

Swali langu ni je, ukiwa kama mtawala/mfalme wa dunia unapaswa kumwinamia/kumwabudu mtawala mwingine?

Je, kati ya Mungu, Shetani na Binadamu kwa hizo sifa ulizozitaja hapo juu nani ni bora kuliko mwingine?
 
Uttoh2002
Umesema kuwa BINADAMU NDIYE MTAWALA WA DUNIA kwa kuwa Shetani na Mungu ni Roho tu ila Binadamu ana sifa ya ziada kuliko hao wawili inayomfanya kuwa mtawala halisi wa dunia ambayo ni Roho na Mwili,

Swali langu ni je, ukiwa kama mtawala/mfalme wa dunia unapaswa kumwinamia/kumwabudu mtawala mwingine?

Je, kati ya Mungu, Shetani na Binadamu kwa hizo sifa ulizozitaja hapo juu nani ni bora kuliko mwingine?
 
Introduction (from the book Fairy Magic in the Grimoires)

The purpose of this book is to teach a little-known area of the grimoires: Fairy Magic. A grimoire is a book of magical instructions which gives methods to conjure angels, demons, fairies, and the dead, as well as cast spells. Examples of these books are the Lesser Key of Solomon, the Grand Grimoire, the Grimorium Verum, The Grimoire of Pope Honorius, the Heptameron, The Sacred Magic of Abramelin, The Book of Oberon, The Grimoire of Arthur Gauntlet, The Grimoire of Armadel, Magia Naturalis et Innaturalis, The Cambridge Book of Magic, The Discoverie of Witchcraft, the Little Albert, and many more. It might be said that the grimoire age was between 1200 AD and 1900 AD in Europe, with most grimoires being produced between 1400 AD and 1800 AD.

All these books are connected in some way, and many of them share material from one book to the next. For instance, portions of the Heptameron grimoire such as the Hexagram of Solomon have wound up in dozens of other grimoires. Scattered through these books of magic, among the spells, and invocations to angels and demons, are rituals and spells to conjure Fairies.

In many cases, the grimoires are hopelessly complex. I have been studying them for 25 years, and it is all I can do to understand them sometimes. My goal is to introduce the reader to the fairy magic within the grimoires and giveworkable operations which they may carry out if they are so bold.

Fairy magic in the grimoires is somewhat different than might be expected because the grimoires were a mix of Pagan and Christian ideas. Most grimoires have evocations of angels and demons, with summoning the dead and fairies being less common. Today, interest in fairies and fairy magic is very high, but few people know of the fairy magic within the grimoires. It is my purpose in this book to present real fairy magic, which is to some degree a little known and lost tradition, especially in the
form it is found in within the old grimoires.

All the grimoires were written from somewhat of a Christian perspective. While on one hand, the Inquisition and the witch hunters considered the conjuration of fairies to be a serious crime, equal to summoningdemons, the writers of the grimoires themselves were using Christian language to conjure these spirits.

In modern times, when we think of witches in the old days, we think of people who were persecuted by the Christian Church, and rightly so, because they were, yet at the same time, these witches, those who wrote the grimoires, were using Christian conjurations, names of God, angels, saints, etc., to conjure the spirits. That is what witchcraft was in the old days, at least in the grimoire tradition, of which there is thousands of remaining editions of these old manuals of sorcery. It is obvious that there were once hundreds of thousands of people who used the old grimoires, they are a vast tradition. So, if you want to conjure these fairies and spirits listed in the grimoires, you can go at it in one of two ways. You can try to rewrite the rituals and cut all the Christian stuff out of it, or you can do it “by the book.” For the purposes of this book, the materials are traditional, from the “by the book” perspective. I never intended to write this book. I was led into it by the fairies. Guess what? They don’t care if the conjurations are Christian. This is historical magic, its old, and there is deep power running in it.

I have done all sorts of magic, black and white. For me, I am doing it the old way here, black, white, whatever it is, at least these rituals, that’s my decision. It is too complex to change. I feel that it would lose some of its ancient power if I changed it. I made a few slight modifications or adaptations, which I will point out, but still, this is the old
school. If you choose to work these rituals in the
traditional manner, you will do well. Just be respectful, these are living beings, in another dimension, yes, but very much alive. So be careful and watch your step. There are good and evil fairies, that is well known.

A note on the text. Most of the spells in this book are in the public domain if you know where to look. However, there are a couple exceptions. The material from Sloane MS 3851 is also published as “The Grimoire of Arthur Gauntlet” by David Rankine. I am grateful for his permission to use the material from his printing of Sloane MS 3851 in this book. That would be spells 2, 3, and 9.Also, the material for spells 5 and 6 in this book come from the edition of the grimoire called the Book ofOberon produced by Daniel Harms, Joseph Peterson, and James R Clark. The Book of Oberon is published by Llewellyn Publications. I contacted Daniel Harms andLlewellyn Publications and they were gracious enough to
let me use the Latin translations of the spells 5 and 6 in this book. For that I am eternally grateful.

Now let’s look at a couple of early fairy spells. The
following is an example of what has been called “the table ritual” for the fairies, or “a meal for the fairies.”...

Sent using Jamii Forums mobile app

Funguka na hizo spells watu tuko rada mkao wa kula
 
Back
Top Bottom