Nani ni kama mimi?

Nani ni kama mimi?

Chalii ya R mbna unamletea uyo mamsi asha kugaya mteme...... tu

Ata kama anakijambio bwaku mbona viko vya kuchele chaliangu.
 
Dunia iko kwingine kabisa kwa sasa, hakuna upendo wa kweli, ahadi zinavunjwa, usaliti umetawala.


Usiwekeze upendo kupita kiasi kwa mtu, rudi kwenye akili timamu za kumsoma mtu na uwe tayari kwa lolote lile. Hautaumia.
 
Nani ni kama mm ambaye aliempenda mtu kwa dhati tena upendo wa KIMUNGU ambao hauwangalii sura , rangi, tabia ,kabila, na hata pesa lkn pamoja na upendo wote ulionyesha kwake yy anachukulia easy kwa vile alishawahi kuumizwa nyuma kabla yako

Nani kama mm ambae alidanganywa kwa maneno matamu na mazuri na ahadi nzuri za kuvutia lkn ikabaki kuwa story


Nani kama mimi ambaye kwenye mahusiano yake anaweza akamaliza siku 3 bila text yoyote wala call kutoka kwa mpenzi wake anaempenda kwa dhati


Nani kama mm ambae unamtext love wako lkn hajibu text


Nani kama mimi ambae unampigia cm love wako lkn anakukatia ukimuuliza why anakwambia niko kwenye majukumu

Nani kama mm ambae yuko kwenye mahusiano lakin mpenzi wake hamjalii kwa lolote wala chochote si kihisia , si kifedha , si kimawasiliano yani namaanisha kukujulia hali , na mengine mengi


Nani kama mm ambae ana mthamini mpenzi wake yupo tayari hata kujinyima yy mwenyew ili tuu amfurahishe mpenzi wake na kujali pia hata wakati wa kuumwa lkn anae mthaminii haionii thamani yako


Nani kama mm ambae uliamua hadi kumuonesha mama yako picha yake na kumwambia kuwa uyu ndo mwanaume ambae nimemchagua kuwa ndo atakuwa wa kwanza na wa mwisho kwangu lakin KWA SASA UNAONA HAIBU NA MAJUTO JUU kwann nilikuwa na uwaraka wa kufanya hvyo angali bado ajajileta mwenyew nyumban
Jiuzuru, ndungai keshakuonyesha njia. Achana na hayo mambo
 
Wew acha kulia lia kama umemuonesha mzazi wako picha kuwa yeye ndo future

Ndo ikuumize ivo aah usiwe ivo things pass!
Potezea Tu achakulia toka nje kutana na watu wengine

Maisha yanaendelea
 
Dunia iko kwingine kabisa kwa sasa, hakuna upendo wa kweli, ahadi zinavunjwa, usaliti umetawala.


Usiwekeze upendo kupita kiasi kwa mtu, rudi kwenye akili timamu za kumsoma mtu na uwe tayari kwa lolote lile. Hautaumia.
Nimejifunza asantee saguda 47
 
Bora wewe nani kama mimi niliepewa limbwata halafu nikaachwa na limbwata bado linafanya kazi!!..
polee sanaa maskini oga maji ya chumvi na kuwa na imanii libwata itaishaa
 
Back
Top Bottom