Technologiest
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 3,712
- 4,026
Pole sana Mkuu, take ur time ama elewa tu jamaa hapendi mawasiliano ya mara kwa mara ila tu wakati kuna sababu ya kufanya hivyo
Dada angu...ukiona akufai weka pembeni angalia mwingine.....na huyo asipokufaa tia pembeni chukua mwingine......itafikia hatua utapata tu aliye Bora na anaekupenda ww tu!Nani ni kama mm ambaye aliempenda mtu kwa dhati tena upendo wa KIMUNGU ambao hauwangalii sura , rangi, tabia ,kabila, na hata pesa lkn pamoja na upendo wote ulionyesha kwake yy anachukulia easy kwa vile alishawahi kuumizwa nyuma kabla yako
Nani kama mm ambae alidanganywa kwa maneno matamu na mazuri na ahadi nzuri za kuvutia lkn ikabaki kuwa story
Nani kama mimi ambaye kwenye mahusiano yake anaweza akamaliza siku 3 bila text yoyote wala call kutoka kwa mpenzi wake anaempenda kwa dhati
Nani kama mm ambae unamtext love wako lkn hajibu text
Nani kama mimi ambae unampigia cm love wako lkn anakukatiaukimuuliza why anakwambia niko kwenye majukumu
Nani kama mm ambae yuko kwenye mahusiano lakin mpenzi wake hamjalii kwa lolote wala chochote si kihisia , si kifedha , si kimawasiliano yani namaanisha kukujulia hali , na mengine mengi
Nani kama mm ambae ana mthamini mpenzi wake yupo tayari hata kujinyima yy mwenyew ili tuu amfurahishe mpenzi wake na kujali pia hata wakati wa kuumwa lkn anae mthaminii haionii thamani yako
Nani kama mm ambae uliamua hadi kumuonesha mama yako picha yake na kumwambia kuwa uyu ndo mwanaume ambae nimemchagua kuwa ndo atakuwa wa kwanza na wa mwisho kwangu lakin KWA SASA UNAONA HAIBU NA MAJUTO JUU kwann nilikuwa na uwaraka wa kufanya hvyo angali bado ajajileta mwenyew nyumban
Nani ni kama mm ambaye aliempenda mtu kwa dhati tena upendo wa KIMUNGU ambao hauwangalii sura , rangi, tabia ,kabila, na hata pesa lkn pamoja na upendo wote ulionyesha kwake yy anachukulia easy kwa vile alishawahi kuumizwa nyuma kabla yako
Nani kama mm ambae alidanganywa kwa maneno matamu na mazuri na ahadi nzuri za kuvutia lkn ikabaki kuwa story
Nani kama mimi ambaye kwenye mahusiano yake anaweza akamaliza siku 3 bila text yoyote wala call kutoka kwa mpenzi wake anaempenda kwa dhati
Nani kama mm ambae unamtext love wako lkn hajibu text
Nani kama mimi ambae unampigia cm love wako lkn anakukatiaukimuuliza why anakwambia niko kwenye majukumu
Nani kama mm ambae yuko kwenye mahusiano lakin mpenzi wake hamjalii kwa lolote wala chochote si kihisia , si kifedha , si kimawasiliano yani namaanisha kukujulia hali , na mengine mengi
Nani kama mm ambae ana mthamini mpenzi wake yupo tayari hata kujinyima yy mwenyew ili tuu amfurahishe mpenzi wake na kujali pia hata wakati wa kuumwa lkn anae mthaminii haionii thamani yako
Nani kama mm ambae uliamua hadi kumuonesha mama yako picha yake na kumwambia kuwa uyu ndo mwanaume ambae nimemchagua kuwa ndo atakuwa wa kwanza na wa mwisho kwangu lakin KWA SASA UNAONA HAIBU NA MAJUTO JUU kwann nilikuwa na uwaraka wa kufanya hvyo angali bado ajajileta mwenyew nyumban
Tunashare unachokipitia Mkuu, kikubwa tule na kushiba vizuri coz mapenzi ni ya walioshbaNani ni kama mm ambaye aliempenda mtu kwa dhati tena upendo wa KIMUNGU ambao hauwangalii sura , rangi, tabia ,kabila, na hata pesa lkn pamoja na upendo wote ulionyesha kwake yy anachukulia easy kwa vile alishawahi kuumizwa nyuma kabla yako
Nani kama mm ambae alidanganywa kwa maneno matamu na mazuri na ahadi nzuri za kuvutia lkn ikabaki kuwa story
Nani kama mimi ambaye kwenye mahusiano yake anaweza akamaliza siku 3 bila text yoyote wala call kutoka kwa mpenzi wake anaempenda kwa dhati
Nani kama mm ambae unamtext love wako lkn hajibu text
Nani kama mimi ambae unampigia cm love wako lkn anakukatiaukimuuliza why anakwambia niko kwenye majukumu
Nani kama mm ambae yuko kwenye mahusiano lakin mpenzi wake hamjalii kwa lolote wala chochote si kihisia , si kifedha , si kimawasiliano yani namaanisha kukujulia hali , na mengine mengi
Nani kama mm ambae ana mthamini mpenzi wake yupo tayari hata kujinyima yy mwenyew ili tuu amfurahishe mpenzi wake na kujali pia hata wakati wa kuumwa lkn anae mthaminii haionii thamani yako
Nani kama mm ambae uliamua hadi kumuonesha mama yako picha yake na kumwambia kuwa uyu ndo mwanaume ambae nimemchagua kuwa ndo atakuwa wa kwanza na wa mwisho kwangu lakin KWA SASA UNAONA HAIBU NA MAJUTO JUU kwann nilikuwa na uwaraka wa kufanya hvyo angali bado ajajileta mwenyew nyumban