miss IQ
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 849
- 1,200
Na katika mambo hayo yote, asitende dhambi wala kumuwadhia Mungu kwa upumbavu.

ulyankulu barabara 13Na katika mambo hayo yote, asitende dhambi wala kumuwadhia Mungu kwa upumbavu.

ulyankulu barabara 13Katika viumbe vyoteulyankulu barabara 13
Chalii umeshikwa pabaya.....Tatizo umenichukia bila sababu. The more i want you to be close to me the more you ran away from me. What wrong did i do that didn't desrve to be forgiven?
Ni sawa tu ndio maisha hayoChalii umeshikwa pabaya.....
wapambe tupo 😁
Bora wewe nani kama mimi niliepewa limbwata halafu nikaachwa na limbwata bado linafanya kazi!!..









Zama chemba ukambembeleze mtoto mzuri....hadi mwanaume umeandika hapa inatakiwa akusikilize kwakweli 😔Ni sawa tu ndio maisha hayo
Kama hataki sina namna. Maisha lazima yasonge.Zama chemba ukambembeleze mtoto mzuri....hadi mwanaume umeandika hapa inatakiwa akusikilize kwakweli 😔
Short , Loud and Clear.Jikaze
Nimekumbuka namna Baba yangu alikuwa akinipa kazi ya kuzungusha Kanda kwa Penseli/ Kalamu.ulyankulu barabara 13
Huna wa kufananishwa naeBora wewe nani kama mimi niliepewa limbwata halafu nikaachwa na limbwata bado linafanya kazi!!..
Nlifikir huu uzi utavukia page nyngine Kenzy hajatia kambiiBora wewe nani kama mimi niliepewa limbwata halafu nikaachwa na limbwata bado linafanya kazi!!..
KonokonoBora wewe nani kama mimi niliepewa limbwata halafu nikaachwa na limbwata bado linafanya kazi!!..
