Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Siku mtu na mkewe walikuwa wanabishana ni nani muoga
kuliko mwenziwe,mume anasema mke muoga na mke anasema
mume muoga ndipo walipoamua kuwauliza watoto wao
Baba =Naomba kuwauliza ni na nani kati ya mimi na mama yenu mwoga zaidi
Mtoto 1=mama mwoga sababu anaogopa hata kutoka nje usiku wakati baba akiwa amesafiri
Mtoto 2=Baba ndio muoga zaidi maana anaogopa kulala peke yake mama kama siku akiondoka anamuita msichana wa kazi analala nae.
kuliko mwenziwe,mume anasema mke muoga na mke anasema
mume muoga ndipo walipoamua kuwauliza watoto wao
Baba =Naomba kuwauliza ni na nani kati ya mimi na mama yenu mwoga zaidi
Mtoto 1=mama mwoga sababu anaogopa hata kutoka nje usiku wakati baba akiwa amesafiri
Mtoto 2=Baba ndio muoga zaidi maana anaogopa kulala peke yake mama kama siku akiondoka anamuita msichana wa kazi analala nae.