Vile vile ile kwaya ya kijitonyama upendo group naipenda mno kuna bwana mmoja nafkri ndo main vocalist ila sikuizi wamepoteana ila albam yao ina dumu sana tatzo njia tu ya kurekod ndo ilikua ya kizamani pengine wangepata vifaa vya kisasa mbona wangewaacha wale joyouz celebration wa SA maana ndo kwaya nayoipenda zaidi
Kiukweli najivunia kuwa mkristo ni raha mno kuwa ndani ya huyu Yesu
Hapo ongezea na kimara lutheran....katika njia ya injili...na mabibo lutheran...sauti..aisee izi kwaya mbili zilikuwa moto..
Kwa suala la uimbaji wa muziki wa injili wote uliowaandika wanaimba vizuri, na mchango wao ni mkubwa katika "kuelimisha na kuonya pia. " Ni kazi ya injili hiyo.
Ila ukiniuliza nani ni greatest, tuache chuki binafsi, siwezi kuacha kumtaja "Rose Muhando." Huyu mwanamke ndiye aliyeutangaza muziki wa injili si Tanzania tu, mpaka Congo, Rwanda, Burundi, Kenya na nchi zingine za kusini mwa Africa nyimbo zake zilipigwa. Ndiye aliyewavutia wanamuziki wa nje km Angela Chibalonza (RIP) kujua muziki wa injili una soko na unalipa na kuamua kuja Tanzania.
Ametengeneza soko la ajira kwa wanamuziki wengine, she really created a way for others & she deserves credit for that.
Je wajua? Rose Muhando ndiye mwanamuziki pekee Tanzania ambaye nyimbo zake zilipigwa kila sehemu; Makanisani, baa, kule kwenye kumbi za video (vibanda umiza), sherehe, hata wenzetu waliweka km milio ya simu, hasa ule wimbo wa "Nibebe." nk
Yote ni heri, lakini SIFA kuu zimfikie ROHO anayewasaidia.
Eti mkuu samahani Mchungaji Abiudi Kanisa lake liko wapi?? Naomba nisaofoe nisaidie tafadhali kama unajua.Mchungaji abiudi
Mkuu kanisa la mchungaji Abiudi lipo wapi?1- Bahati Bukuku
2- Abiud Misholi
3-
Duuuh kaz ipo, tupe uthibitisho kuwa MUNGU anazuia kumuimbia na kumsifu...Nyimbo na ala za mziki nikazi za shetan soma mungu si mtt useme umuimbie atalala mungu kaagiza utumikie sio umsifu wala umuimbie nakupa mfano ww bos anakwambia fanyakaziyangu ww unamsifia fanyausafi ww unamsifu anakwambia lete chai ww unamsifia kweli utakuelewa
Hakuwa mtanzania yule best, akikuwa mkenya mm pia niliipenda sana kazi yake... Angela ChibalonzaKuna mother aliimba Ebenezer alifariki kwa ajali ya gari hata simkumbuki jina.
Ni mwimbaji mzuri sana.
Bethel Gospel Singers walitamba sana na nyimbozao kwamfano YU MWEMA, SIO SISI n.k sikuhz wamepotea sanaukizingu mzia kwaya nazo zipo nyingi tu kama bethel nao walitamba sana na nyimbo zao tofauti tofauti ila mi niliupenda na naupenda Mungu yumwema Mungu yumwema
Rose muhando atabaki kua mwimbaji Bora wa gospel hasa ukisikiliza mapini yake... Kuanzia midundo na vocal na mistari..Rose Muhando? Bahati Bukuku? Christina Shusho? Bonny Mwaitege? Upendo Nkone? Jennifer Mgendi? Beatrice Muhone? Ambwene Mwasongwe? Martha Mwaipaja? Flora Mbasha?.............
Rose Muhando? Bahati Bukuku? Christina Shusho? Bonny Mwaitege? Upendo Nkone? Jennifer Mgendi? Beatrice Muhone? Ambwene Mwasongwe? Martha Mwaipaja? Flora Mbasha?.............