Nani Mtani Jembe: Simba Vs Yanga

Nani Mtani Jembe: Simba Vs Yanga

Kwa mpira huu ,hakuna wa kumfunga maji maji atakapopanda daraja mwaka ni!!
 
Daaaaaah simba damu aiseeee raha sanaaaaaaa safi sanaaaaaaaaaaa
 
Pamoja na chuki niliyokuwa nayo, sio siri leo Mimi kama mshabiki wa Simba nimefarijika sana kuona live Yanga wakipewa haki yao. Nawaomba sana muendelee hivihivi na hata uchaguzi ujao. Nimewasamehe kwa yaliyopita tugange yajayo. Nimetulia nyumbani na familia huku nikicheki mtani jembe
 
eti bonanza ya pombe kwanini mlikuja uwanjani halafu mnazimia,nye kweli watani mabwege.
 
lol!!!! Kumbe eeh!!!! haya bhanaaa, nawaangalia MAN C na Leicester bado 0-0, AV na WBA bado 0-0 ila AVL wamebaki 10. HT bado.

Nimefurahi sana kuliona hili......
 
Hahahahahahaha! Lile ni la yanga wakuu. Yanga ilikuwa inazikwa rasmi leo
 
Khe khe khe khe khe poleni wa jangwani na marangi yenu mabaya kama ya nanihii 🙂🙂

Nawauliza wadau wa mpira au TV yoyote hapa nchini mechi hiyo, tv ipi itaoneshwa live

KiliLager.com
================

UPDATES

Full time: Yanga 0-2 Simba
 
Natoka uwanjani, majonzi uwiii. Dida katuangusha leo mpira anaingiza ndani badala ya kutoa nje. Yee anaijua style ya ndani tu? Inabidi afundishwe na kutoa nje.

Simba hayaa hela zenu na magoli yenu. Mnatufungia mwaka vibaya sana ....... zenu.

pole

mbili ukitoa zero inabaki ngapi?????????
nauliza tu
 
Hivi nawe huku ndio uko chama gani vile? Pan Africa? Hahahahahah lol!!!!

hahahaha! Rangi nyekundu haijawah niangusha ili hii furaha yangu iwe kamili ni mpka kesho, siyo kihivyo sana hapa home but my favourite is Simba.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Simba wanacheza na majina zaidi kuliko ukweli. Muda mfupi ujao kila kitu kitakuwa wazi. I presume Yanga 3-1 Simba. Kiburi chote kimewekwa kwa Andunje Sserunkuma, siye tunayo ma Sserunmbo kibao, ukiondoa huyo kikosi cha mikia kilichobaki ndio hicho kilichoshinda mechi moja na kutoa sare 6 mfululizo. Yanga, mbele daima, nyuma mwiko.

Hebu rudia haya maneno please?
 
lol!!!! Kumbe eeh!!!! haya bhanaaa, nawaangalia MAN C na Leicester bado 0-0, AV na WBA bado 0-0 ila AVL wamebaki 10. HT bado.

asante kwa info,vipi leo unachomoka?
 
Mie nimekaa mkao wa kula nasubiri mchapo wetu na New Castle na huo wa kesho hautanipita. I hope L'pool watacheza kwa ari na siyo midabwada waliyoonyesha katika siku za karibuni.

hahahaha! Rangi nyekundu haijawah niangusha ili hii furaha yangu iwe kamili ni mpka kesho, siyo kihivyo sana hapa home but my favourite is Simba.
 
Pamoja na chuki niliyokuwa nayo, sio siri leo Mimi kama mshabiki wa Simba nimefarijika sana kuona live Yanga wakipewa haki yao. Nawaomba sana muendelee hivihivi na hata uchaguzi ujao. Nimewasamehe kwa yaliyopita tugange yajayo. Nimetulia nyumbani na familia huku nikicheki mtani jembe
mkuu siyo umepotea njia?Hapa ni siasa mkuu
 
3-0 Arsenal, lakini hawa New Castle si wa kuchezea tusipokuwa makini inaweza kabisa kula kwetu, ila naziona 3 ziking'ara.

asante kwa info,vipi leo unachomoka?
 
Ila hesabu zako ukizigeuza 3-1 inabaki mbili (2) kwa hiyo kwa namna yako finyu ya kufikiri umepatia matokeo.
 
1418485291909.jpg
 
Back
Top Bottom