Hiyo mechi ya mchangani mnayopigia makelele bado haijaisha tu?
Nawashangaa watu wanaopoteza muda wao kuangalia hiyo mechi ya kipuuzi
Hiyo mechi ya mchangani mnayopigia makelele bado haijaisha tu?
Kabisa, huyu Sherman ni hatari. Ila keshaumia.
kulikoni kwa wale mlioko uwanjani mbona kama kuna maombolezo kabla ya mechi kuanza?
Simba 2,Yanga 0
Mimi msimbazi weweeeee leo yanga lazma wakae....
Mie mnyama wa Msimbazi.
Afadhali leo tunashare furaha
hahahahahaha! mke mwe leo hatupewi chakula ya usiku!
hahaha mwenzo nshajipanga!! hapa mguu ndani nje!
naona le ukawa imepotea nini..Mie mnyama wa Msimbazi.
Angekuwepo Mandieta tusingefungwa.
:glasses-nerdy::teeth::teeth::teeth::teeth: bado simba yupo mbele :A S soccer: 2 bila..Bora ninyimwe hela ya matumizi ila chakula ya usiku nipate loh nitaandamana.........lol