Nani Mtani Jembe: Simba Vs Yanga

Nani Mtani Jembe: Simba Vs Yanga

Mashindano ya kipuuzi kama haya Simba ndio wanaongoza. Mtani Jembe ni upuuzi mtupu

ukawa 2 ccm 0,hii inaashiria goli la kisigino kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa kabla ya uchaguzi mkuu 2015
 
Taratibu ndugu, huu mfano wako hau.apply hapa. Tusiharibiane mood!

Kama kawa, hata simba iwe mbovu yanga iwe kali kupita maelezo, kichapo kiko pale pale!! Narudia, kichapo kiko pale pale!! Tandika pale pale panapouma mpaka panakuwa pekundu!
 
mtu anapewa kadi mbili za njano anaendelea kucheza, hii ni Tanzania tu

Mmechanganya na mchezaji mwingine, ina maana nyie pekee ndo mmeona hilo!! Wachezaji hawajalala$ika, hamna hata mtangazaji mmoja aliyesema hilo!! Kwa hiyo mlitaka Simba iwe pungufu?? Ndo sababu mlionayo sasa kuwa Yanga walikuwa 11 ila Simba walitakiwa wawe 10 ili mshinde??
 
Nimeshangaa sana wadau kuona jeneza lililofunikwa kwa rangi ya chama. Ama kweli kesho ndo kifo cha magamba aka ESCROW. Inshala na itokee!
 
Makoye mpira hamuwezi shindeni kwenye kukusanya vizibo kwani wengi wenu hamna kazi za kufanya kazi kukusanya vizibo vya bia.
 
Poleni sana wana yanga kufungwa tuwafunge..bahati nasibu hivyohivyo..
 
Natoka uwanjani, majonzi uwiii. Dida katuangusha leo mpira anaingiza ndani badala ya kutoa nje. Yee anaijua style ya ndani tu? Inabidi afundishwe na kutoa nje.

Simba hayaa hela zenu na magoli yenu. Mnatufungia mwaka vibaya sana ....... zenu.
 
Back
Top Bottom