Nani Mtani Jembe: Simba Vs Yanga

Nani Mtani Jembe: Simba Vs Yanga

Mie nimekaa mkao wa kula nasubiri mchapo wetu na New Castle na huo wa kesho hautanipita. I hope L'pool watacheza kwa ari na siyo midabwada waliyoonyesha katika siku za karibuni.

mhhh! Ntakununia sasahv yaan hunitakii mema?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Naam, sasa tumfukuze Maximo. Ngoja niunde zengwe. Naanzia mshahara. Hatuwezi kuvunja benki kumlipa yeye na wadogo zake waganga njaa halafu hata kabao ka hamu hakuna! Mbabaishaji huyu, atembee bwana.
 
Hahahahaha lol!!!! Sasa wewe hutaki kuona soka la uhakika ambalo litakufanya hata kiti ukione cha moto kwa dakika zotee 90!? Mie nataka kuona kandanda kama hilo hata ukishinda unajipiga kifua kwa maringo, siyo kushinda katika mechi hovyoooo midabwada mitupu mwanzo mwisho. Lini umejifunza kununa? 🙂🙂

mhhh! Ntakununia sasahv yaan hunitakii mema?
 
chezea simba weye hii ndiyo tunayoitaka simba oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee yanga brazil ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Tatizo mpira wa Simba na Yanga hautabiriki.
Acha kujidanganya, zinapocheza Simba na Yanga, probability kubwa huwa ni kwamba Simba itashinda, regardless iwe mbovu kiasi gani. Lakini Yanga ikiwa mbovu, matokeo huwa mabaya zaidi kwao, ndo kama yale ya 5-0
 
Mwaka jana mechi kama hii ilimfukuzisha kocha wa Yanga. Mwaka huu ni zamu ya mfadhili!!!
 
Alafu hivi ni kwa nini wasichana na wanawake wazuri hapa bongo wote ni washabiki wa Simba? Sijawahi kuona mbaya, ila upande wa pili pale jangwani, sina la kusema!

Wale wa pande ya pili wakujichubua halafu mishangingi kibao hata kwenye lile chama lao sijui kwa nini.
 
Thubutu wamfukuze Kanjibhai si watakula mawe. Kanjibhai hatafukuzwa kamwe. Mijitu inampigia magoti wewe unasema afukuzwe?
 
Kitenge ni Simba?? Mbona anapenda sana kuipamba Yanga! Toka yuko redio one alikuwa akiongea mambo ya yanga anashindwa kabisa kuficha mahaba. Labda!! Ila kwa ninavyomsikiaga akiongea kuhusu simba au yanga, huwa anaonyesha mahaba makubwa sana kwa yanga.
Kitenge huwa akiiongelea Yanga kwa uchungu, utaona sauti yake kama inaelekea kukauka hivi! Jamaa atakuja kuzimia studio
 
Hahahahaha lol!!!! Sasa wewe hutaki kuona soka la uhakika ambalo litakufanya hata kiti ukione cha moto kwa dakika zotee 90!? Mie nataka kuona kandanda kama hilo hata ukishinda unajipiga kifua kwa maringo, siyo kushinda katika mechi hovyoooo midabwada mitupu mwanzo mwisho. Lini umejifunza kununa? 🙂🙂

mimi nataka magoli bana nikitaka burudani huwa naangalia Arsenal full kuburudika,hahahahaha!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hao Waganda si ndio wameshindwa kuivusha nchi yao kufuzu CAN, uhatari wao uko wapi sasa? Hao Wabongo uliowataja ni wa normal sana hatuna hofu nao, Mnyama lazima afe na hiyo mechi haina sare/ suluhu alizozizoea.

Mlokole wacha uoga. Jitokeze utetee ulichoandika. Mdomo mrefu ukikojolewa kimyaaaaaa kama umekunywa gundi.
 
LoL!!! Mie nataka kuona kandanda la uhakika hata wakitoa 0-0 🙂🙂 mie poa tu.

mimi nataka magoli bana nikitaka burudani huwa naangalia Arsenal full kuburudika,hahahahaha!!
 
Chezea simba weye hayo ndiyo tunayoyahitji wasimba, simba oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Yanga brzil ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii??????????????????????????????????
 
Back
Top Bottom