everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Mie nimekaa mkao wa kula nasubiri mchapo wetu na New Castle na huo wa kesho hautanipita. I hope L'pool watacheza kwa ari na siyo midabwada waliyoonyesha katika siku za karibuni.
mhhh! Ntakununia sasahv yaan hunitakii mema?