Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,711
Muungwana mmoja awe anajitolea kutaja dakika zilizokatika hadi muda huu.
Ova
Dakika zilizoongezwa ni 4
Muungwana mmoja awe anajitolea kutaja dakika zilizokatika hadi muda huu.
Ova
hahahahah kitenge anawaambia mashabiki wa yanga wameganda kama wamekunywa gundi
very gud mwanamichezo masai dadakipa wa simba anastahili zawadi ya ushindi.........kanifurahisha
Hahahahaaaa jamani tutauana kwa kucheka! Eti mashabiki wameganda kama wamekunywa gundi, Kitenge ana maneno sana.
Ova
Jamani okwi mtamuu.
hana bando bora jeiefu wametoa ile ya kuona watu walio online kwenye uzi husika..hahahaha! Hana bando!
Lazima tukubali mbumbumbumbu kwa mabonanza wanaongoza!
Turudi kwenye VPL tuone mwisho wake