dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,245
Uwanja huu ufungiwe mpaka mmiliki aweke nyasi bandia. Tope kama lote hata mpira haunogi.
Ni hayo tu.
Ni hayo tu.
Unaitwa uwanja wa sokoine...toka jumatatu zinachezwa mechi pale haujawahi kupumzika na mvua inapiga kila sikuUwanja huu ufungiwe mpaka mmiliki aweke nyasi bandia. Tope kama lote hata mpira haunogi.
Ni hayo tu.
Ahsante kwa kunirekebisha, mambo ya weekend haya. Badala ya sokoine nkaandika karumeUnaitwa uwanja wa sokoine...toka jumatatu zinachezwa mechi pale haujawahi kupumzika na mvua inapiga kila siku
Na usipofungiwa basi upelekwe jukwaa la mapishiBila picha ni makosa makubwa naomba mods na huu uzi ufungiwe.
CCM SOKOINE STADIUMUwanja wa Chama chetu Tawala
Uwanja huu ufungiwe mpaka mmiliki aweke nyasi bandia. Tope kama lote hata mpira haunogi.
Ni hayo tu.
Ni wa ccmUwanja huu ufungiwe mpaka mmiliki aweke nyasi bandia. Tope kama lote hata mpira haunogi.
Ni hayo tu.
Uwanja ule unatumika sana ndo maana unakuwa kwenye hali mbaya ndani ya siku tano zilichezwa mechi 4 halafu na mvua juu.Uwanja huu ufungiwe mpaka mmiliki aweke nyasi bandia. Tope kama lote hata mpira haunogi.
Ni hayo tu.
Mmiliki ni chama cha Tulia Ackson.Uwanja huu ufungiwe mpaka mmiliki aweke nyasi bandia. Tope kama lote hata mpira haunogi.
Ni hayo tu.
Hizo hela za kuujenga huo uwanja walipata wapi?CCM SOKOINE STADIUM
Hivi viwanja vilitakiwa kumilikiwa na Halmashauri za Wilaya na Miji husika. Na ifikie wakati hao ccm wawe na aibu!
SIJAFAHAMU CHIEFHizo hela za kuujenga huo uwanja walipata wapi?
Ok kwani uwanja huu hauna underground drainage system?au hauna tofauti ni mji mzima wa Mbeya ambao drainage system yake ni ziro!!Uwanja ule unatumika sana ndo maana unakuwa kwenye hali mbaya ndani ya siku tano zilichezwa mechi 4 halafu na mvua juu.
Hata hivyo hapa bongo viwanja vingi haviwezi kuhimili mvua hata pale LUPASO mvua ikinyesha Uwanja unajaa maji.